The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,494
- 2,040
Ingawa mimi sio mchumi wa namna yoyote, lakini kutokana na uzoefu wa utafutaji wa hapa na pale naelewa kwamba ili bei ya vitu ipande ni pale kunapokuwa na uhitaji mkubwa wa vitu kiwango kinachozidi uzalishaji.
Kwa mantiki hiyo hiyo ili vitu vishuke bei ni lazima uzalishe sana kuliko uhitaji uliopo. Lakini kama huwezi kuzalisha mwenyewe basi utalazimika kuagiza toka nje au uruhusu watu waagize toka nje.
Kujaribu kuwachimba mkwara wafanya biashara ni kujidanganya tu. Naamini kila mfanya biashara angetamani auze kwa bei mdogo kuliko wenzie ili amalize haraka mzigo wake, lakini hakuna mtu anaweza kufanya hivyo endapo bei haimlipi.
Hebu Wanasiasa waache usanii.
Kwa mantiki hiyo hiyo ili vitu vishuke bei ni lazima uzalishe sana kuliko uhitaji uliopo. Lakini kama huwezi kuzalisha mwenyewe basi utalazimika kuagiza toka nje au uruhusu watu waagize toka nje.
Kujaribu kuwachimba mkwara wafanya biashara ni kujidanganya tu. Naamini kila mfanya biashara angetamani auze kwa bei mdogo kuliko wenzie ili amalize haraka mzigo wake, lakini hakuna mtu anaweza kufanya hivyo endapo bei haimlipi.
Hebu Wanasiasa waache usanii.