Cute Cindy
JF-Expert Member
- Apr 9, 2019
- 211
- 591
Nasikia Kuna kipindi yule mwarabu anaitwa lukasi mishuka ya gesti na nansi misumari baada ya kuoana walikuwa wanakosa hata hela ya kula..na the late bwana machache/mume wa k nitaipata lini ndo alikuwa anawaweka mjini (anawapa hela ya kula) ukiingia insta Leo kwenye peji ya nansii misumari huwez amini kuwa hawa watu juzi juzi walikuwa wanakosaga hata hela ya kula jins wanavopost Mara Leo wko London kesho wako Paris, maselfie kwenye ndege etc
Ijulikane kuwa nansii misumari ni shost ake mke wa the late machache/k ntaipata lini
Ijulikane kuwa nansii misumari ni shost ake mke wa the late machache/k ntaipata lini