Hivi kuna kaukweli kwenye huu ubuyu

Cute Cindy

JF-Expert Member
Apr 9, 2019
211
591
Nasikia Kuna kipindi yule mwarabu anaitwa lukasi mishuka ya gesti na nansi misumari baada ya kuoana walikuwa wanakosa hata hela ya kula..na the late bwana machache/mume wa k nitaipata lini ndo alikuwa anawaweka mjini (anawapa hela ya kula) ukiingia insta Leo kwenye peji ya nansii misumari huwez amini kuwa hawa watu juzi juzi walikuwa wanakosaga hata hela ya kula jins wanavopost Mara Leo wko London kesho wako Paris, maselfie kwenye ndege etc

Ijulikane kuwa nansii misumari ni shost ake mke wa the late machache/k ntaipata lini
 
Kwa hadhi ya harusi yao ilivokua HAIWEZEKANI wakose pesa baada ya ndoa

Nancy anajua alichofata kwa jamaa
Sio mwepesi
 
Nasikia Kuna kipindi yule mwarabu anaitwa lukasi mishuka ya gesti na nansi misumari baada ya kuoana walikuwa wanakosa hata hela ya kula..na the late bwana machache/mume wa k nitaipata lini ndo alikuwa anawaweka mjini (anawapa hela ya kula) ukiingia insta Leo kwenye peji ya nansii misumari huwez amini kuwa hawa watu juzi juzi walikuwa wanakosaga hata hela ya kula jins wanavopost Mara Leo wko London kesho wako Paris, maselfie kwenye ndege etc

Ijulikane kuwa nansii misumari ni shost ake mke wa the late machache/k ntaipata lini
Kuna level za umaskini lakin japokua Uzi wako haujakaa kimtelezo(unapiga chenga) kuna mtu akikosa hela anatembelea tako la nyani hili hili ambalo ndo wanaojiona wana hela wanatuburuzia nalo mitaani
 
Mimi huu ubuyu niliupata long way back kuwa yule lukewarm alikuwa anawekwa mjini na ex-wife wake. Baada ya kumpata miss Africa ex wife alikata mfereji wa noti ( hata mimi ningefanya hivyo).

Bibie ninasikia gas inaweza kumuishia akaingiza jiko la mkaa ndani majirani wasijue kuwa mchicha unapikiwa kwenye mkaa.

Ninachomsifu ni kuwa ameikubali hali ya lukewarm.
 
Nasikia Kuna kipindi yule mwarabu anaitwa lukasi mishuka ya gesti na nansi misumari baada ya kuoana walikuwa wanakosa hata hela ya kula..na the late bwana machache/mume wa k nitaipata lini ndo alikuwa anawaweka mjini (anawapa hela ya kula) ukiingia insta Leo kwenye peji ya nansii misumari huwez amini kuwa hawa watu juzi juzi walikuwa wanakosaga hata hela ya kula jins wanavopost Mara Leo wko London kesho wako Paris, maselfie kwenye ndege etc

Ijulikane kuwa nansii misumari ni shost ake mke wa the late machache/k ntaipata lini
style yako ya uandishi nimeipenda
 
Huo ndo urafiki sasa wa kusaidiana shida na raha.
Mara ya mwisho kumuona luka ni kwenye mazishi ya mzee machache alivaaa black suit na alikuwa mmoja wa wasimamizi, by the way mimi umenikumbusha tu mazishi ya mzee wale walemavu wa viungo walivyokuwa wanalia kwa uchungu.
Yale mazishi yalinipa funzo moja kuwa nitakapoondoka nikimtoa mwanangu ndugu marafiki nani wa mbali niliowagusa wakaonililia na kunikumbuka?
 
Lukas wakati anafunga Ndoa na Nancy Sumary alikuwa Managing Director wa Bandari kavu inayoitwa DAR ES SALAAM INLAND CONTAINER DEPOT (DICD) sasa sijui kwa nafasi hiyo alikuwa anakosaje hela ya kula.
 
Lukas wakati anafunga Ndoa na Nancy Sumary alikuwa Managing Director wa Bandari kavu inayoitwa DAR ES SALAAM INLAND CONTAINER DEPOT (DICD) sasa sijui kwa nafasi hiyo alikuwa anakosaje hela ya kula.
picha zao, wengine hatuwajui tupo nje ya nchi
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom