totolito
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 708
- 431
Hiyo ndio maana halisi ya kuongoza Tz ukiwapa elimu watasumbua ujuaji utakuwa mwingi kama hivi sasa hivyo ni bora walibaki waendelee kufeli ili wasije kutusumbua huko mbeleKufuta ada bila kuajiri walimu je wanafunz watajifndsha wao? Lazma wafeli na wataendelea kufeli!