Hivi kuna haja ya kuzaa?

Kifulambute

JF-Expert Member
May 8, 2011
2,539
755
Mimi ni kijana 33 yrs now..katika kuishi kwangu nilibahatika kuoa na sijawahi pata mtoto...miaka minne ya ndoa yetu kuna kipindi.wife alipata ujauzito na ilipofikia siku ya kujifungua mtoto akafariki akiwa tumboni..tukakaa kama miezi saba akapata ujauzito.mwingine ambao ulisumbua sana, miezi minne tu ya ile mimba akaambiwa alazwe bed rest hadi atakapojifungua...tukakubaliana na hali akalazwa hosp for 4 month na ilipofikia miezi nane siku moja ikaonekana mtoto kama anataka kutoka wakamwahisha thearter bahati mbaya ile anafika tu chumba hicho mtoto akafariki...nilipata na simanzi sana nikamshauri wife tukae mwaka na nusu bila kushika ujauzito na sasa tuna mwaka na miezi saba..sasa wife amepatwa na issue ingine tena ya kubleed mfululizo for three month now, tumejaribu kila aina za dawa za hosp, kanisani na mwishowe kuna bibi fulani alitipa dawa ikapungua na sasa namshukuru mungu imekata. Sasa nawaza hivi kuna haja ya kutafuta mtoto kweli ama nipotezee tu niandike walizo kufa wanatosha?
 
Duh.. Mkuu pole sana. Ni mojawapo ya challenge kubwa kwa wanandoa.
Kiukweli kuzaa / kutokuzaa sio ishu kubwa kiasi ambacho jamii yetu imekua ikiamini. Watu mnaweza kuishi maisha ya ndoa yenye amani na upendo bila kuwa na watoto especially inapotokea kutaka kuhatarisha maisha ya mmoja wenu.
Tatizo jamii zetu zimejijengea imani kuwa watoto ni kitu cha lazima na usipopata watoto unaonekana kama nini sijui..! Bado tuna yale mambo ya ooh.. ukizeeka nani atakutunza.. mara nani atarithi mali zako.. mara jina lako sijui litaisha.. n.k.. Na hawakawii kuanza kukushauri utafute mke mwingine! Mi nawafahamu watu wengi tu wako kwenye ndoa zaidi ya miaka 15 hawana mtoto wala nini lakini maisha yanaenda. Wengine wana watoto lukuki lakini hawawasaidii chochote zaidi ya kuwatia presha tuu.. Kwa wenzetu nchi zilizoendelea watu huwa wanaoana na wanakubaliana kabisa kuwa hawatazaa na wanaishi hivyo. Kwahiyo mkuu we usiumize kichwa sana. Pia unaweza ku adapt kama utaona unahitaji mtoto wa kuchangamsha nyumba. Pole sana.
 
Mimi ni kijana 33 yrs now..katika kuishi kwangu nilibahatika kuoa na sijawahi pata mtoto...miaka minne ya ndoa yetu kuna kipindi.wife alipata ujauzito na ilipofikia siku ya kujifungua mtoto akafariki akiwa tumboni..tukakaa kama miezi saba akapata ujauzito.mwingine ambao ulisumbua sana, miezi minne tu ya ile mimba akaambiwa alazwe bed rest hadi atakapojifungua...tukakubaliana na hali akalazwa hosp for 4 month na ilipofikia miezi nane siku moja ikaonekana mtoto kama anataka kutoka wakamwahisha thearter bahati mbaya ile anafika tu chumba hicho mtoto akafariki...nilipata na simanzi sana nikamshauri wife tukae mwaka na nusu bila kushika ujauzito na sasa tuna mwaka na miezi saba..sasa wife amepatwa na issue ingine tena ya kubleed mfululizo for three month now, tumejaribu kila aina za dawa za hosp, kanisani na mwishowe kuna bibi fulani alitipa dawa ikapungua na sasa namshukuru mungu imekata. Sasa nawaza hivi kuna haja ya kutafuta mtoto kweli ama nipotezee tu niandike walizo kufa wanatosha?

Ponda maisha bwana shemeji...stress za nini? usawa huu uanze kushika mavi inahusu? ila utakapo fika 60's ndio utakapojutia uamuzi unaotaka kuufanya maana marafiki zako wote watakua na watoto..kila kitu ni choice duniani hapa..kula bata muraa!
 
Mimi ni kijana 33 yrs now..katika kuishi kwangu nilibahatika kuoa na sijawahi pata mtoto...miaka minne ya ndoa yetu kuna kipindi.wife alipata ujauzito na ilipofikia siku ya kujifungua mtoto akafariki akiwa tumboni..tukakaa kama miezi saba akapata ujauzito.mwingine ambao ulisumbua sana, miezi minne tu ya ile mimba akaambiwa alazwe bed rest hadi atakapojifungua...tukakubaliana na hali akalazwa hosp for 4 month na ilipofikia miezi nane siku moja ikaonekana mtoto kama anataka kutoka wakamwahisha thearter bahati mbaya ile anafika tu chumba hicho mtoto akafariki...nilipata na simanzi sana nikamshauri wife tukae mwaka na nusu bila kushika ujauzito na sasa tuna mwaka na miezi saba..sasa wife amepatwa na issue ingine tena ya kubleed mfululizo for three month now, tumejaribu kila aina za dawa za hosp, kanisani na mwishowe kuna bibi fulani alitipa dawa ikapungua na sasa namshukuru mungu imekata. Sasa nawaza hivi kuna haja ya kutafuta mtoto kweli ama nipotezee tu niandike walizo kufa wanatosha?

kwa mungu hakuna kisichowezekana,endelea kumuomba kila kitu kitaenda shwari.ni imani yako inapimwa tu.utapata watoto vizuri sana,usikate tamaa
 
Ndio kuna haja ya kuzaa, maana watoto ni zawadi unayopewa na Mwenyezi Mungu. Haya yanayotokea kwako naamini wewe si wa kwanza hii ni mitihani tunapitia tu. Nakupa moyo kwa sababu nina watu wa karibu wamepitia kama haya.
 
Mkuu usikate tamaa,shetani asipoivuruga ndoa yako kwa kuwakosesha maelewano,atawavuruga kwa kuwakosesha watoto,kuna kila dalili kuwa uwezekano wa ninyi kupata watoto upo,angekuwa hajawahi kushika mimba kabisa hiyo ndio ingekuwa issue,kazana na maombi sana sana msichoke kuomba kuna vifungo ambavyo havifunguki kwa urahisi,halafu nenda hospitali kuna hosp ambazo zina gyno wazuri sana watu walikuwa na tatizo zaidi ya hilo la mkeo wameshapata watoto.
Watoto katika ndoa wanaongeza upendo na ukaribu,pole sana
 
pole sana
usikate tamaa mpeleke mkeo kwa madaktari bingwa wa wanawake kwa uchunguzi zaidi ukizidi kumwomba mungu atasikia kilio chako yupo dada mmoja alipata tatizo kama hilo miaka 10 iliyopita lakini mungu akamjalia zawadi ya mtoto
 
Kuomba mungu twaomba sana..lakini hapa tujiulize kwan ukiishi bika mtoto nini utapungukiwa katika maisha yako?
 
Pole sana mkuu;

Nakushauri pia aende Hospitali akaonane na Daktari Bingwa wa Kinamama kabla ya kushika ujauzito mwingine. Daktari atajua cha kumsaidia na pia kumpa ushauri.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Pole sana mkuu;

Nakushauri pia aende Hospitali akaonane na Daktari Bingwa wa Kinamama kabla ya kushika ujauzito mwingine. Daktari atajua cha kumsaidia na pia kumpa ushauri.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Mimi ni kijana 33 yrs now..katika kuishi kwangu nilibahatika kuoa na sijawahi pata mtoto...miaka minne ya ndoa yetu kuna kipindi.wife alipata ujauzito na ilipofikia siku ya kujifungua mtoto akafariki akiwa tumboni..tukakaa kama miezi saba akapata ujauzito.mwingine ambao ulisumbua sana, miezi minne tu ya ile mimba akaambiwa alazwe bed rest hadi atakapojifungua...tukakubaliana na hali akalazwa hosp for 4 month na ilipofikia miezi nane siku moja ikaonekana mtoto kama anataka kutoka wakamwahisha thearter bahati mbaya ile anafika tu chumba hicho mtoto akafariki...nilipata na simanzi sana nikamshauri wife tukae mwaka na nusu bila kushika ujauzito na sasa tuna mwaka na miezi saba..sasa wife amepatwa na issue ingine tena ya kubleed mfululizo for three month now, tumejaribu kila aina za dawa za hosp, kanisani na mwishowe kuna bibi fulani alitipa dawa ikapungua na sasa namshukuru mungu imekata. Sasa nawaza hivi kuna haja ya kutafuta mtoto kweli ama nipotezee tu niandike walizo kufa wanatosha?

mkuu wewe ni mkristo au ?? nijibu coz nina dawa ya hili tatizo.
 
Pole sana mkuu;

Nakushauri pia aende Hospitali akaonane na Daktari Bingwa wa Kinamama kabla ya kushika ujauzito mwingine. Daktari atajua cha kumsaidia na pia kumpa ushauri.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

Ahsante kwa ushauri mzuri ntaufanyia kazi
 
POLE sana Kiongozi! Kwanza umeshajua 7bu ya watoto hao wawili KUFA? km bado hebu itafute then uanzie hapo! Kuwa na watoto ni Muhimu ingawa kutokuwa nao pia c mwisho wa MAISHA Ila ni afadhali ijulikane kwamba hamna uwezo wakupata watt lkn sio Uwezo mnao lkn mmekata TAMAA hapana cha muhimu nikujua Tatizo nakulipatia ufumbuzi wakudumu! Kiukweli Watoto wanaongeza Furaha nyumbani!
 
mmmh pole., nyumba bila watoto ni kaz nyingne tena,, ipo siku utawatafta,bado u kijana mdogo tulia utapata mtoto
 

Thanks mkuu, Kimsingi swala la kupata mtoto though ni biological lakini linadepend na baraka za mungu sana. Nakuomba weka imani yako katika hili naloenda kukushauri kwani utaona matunda yake.

SALI KWA MWEZI MZIMA ZABURI YA 143. ASUBUHI UNAPOAMKA NA JIONI UNAPOLALA. NA KWA MUDA HUU WOTE USIFANYE MAPENZI NA MKEO. BAADA YA SIKU 30 MWAMBIE MKEO MUANZE KUINGILIANA. HAKIKA UTAPATA MTOTO Bila matatizo yeyote.TAFADHARI NAKUOMBA UNIAMINI NA UFANYE HIVYO NDUGU YANGU. MIMI NIMEFANIKIWA KUPITIA NGUVU YA MAOMBI HAYA, NILIKATA TAMAA KAMA WEWE, LAKINI KWA NJIA HII SASA NI MTU MWENYE FURAHA MAISHANI.
SALA YENYEWE NI HII: UNAWEZA KUTUMIA YA KISWAHILI PIA KUTOKA KWA BIBLIA YA KISWAHILI

[h=3]Psalm 143[/h][h=4]A psalm of David.[/h][SUP]1 [/SUP]Lord, hear my prayer,
listen to my cry for mercy;
in your faithfulness and righteousness
come to my relief.
[SUP]2 [/SUP]Do not bring your servant into judgment,
for no one living is righteous before you.
[SUP]3 [/SUP]The enemy pursues me,
he crushes me to the ground;
he makes me dwell in the darkness
like those long dead.
[SUP]4 [/SUP]So my spirit grows faint within me;
my heart within me is dismayed.
[SUP]5 [/SUP]I remember the days of long ago;
I meditate on all your works
and consider what your hands have done.
[SUP]6 [/SUP]I spread out my hands to you;
I thirst for you like a parched land.[SUP][a][/SUP]

[SUP]7 [/SUP]Answer me quickly, Lord;
my spirit fails.
Do not hide your face from me
or I will be like those who go down to the pit.
[SUP]8 [/SUP]Let the morning bring me word of your unfailing love,
for I have put my trust in you.
Show me the way I should go,
for to you I entrust my life.
[SUP]9 [/SUP]Rescue me from my enemies, Lord,
for I hide myself in you.
[SUP]10 [/SUP]Teach me to do your will,
for you are my God;
may your good Spirit
lead me on level ground.

[SUP]11 [/SUP]For your name's sake, Lord, preserve my life;
in your righteousness, bring me out of trouble.
[SUP]12 [/SUP]In your unfailing love, silence my enemies;
destroy all my foes,
for I am your servant.
 
Kuomba mungu twaomba sana..lakini hapa tujiulize kwan ukiishi bika mtoto nini utapungukiwa katika maisha yako?
Hilo swali kama angekuwepo marehemu Bi.Kidude angekujibu sawia ni nini adha ya kukaa bila kuwa na mtoto.


"Nlikuwepo":bolt:
 
"Many nights we pray
With no proof anyone could hear
And our hearts a hopeful song
We barely understand
Now we are not afraid
Although we know there's much to fear
We were moving mountains long
Before we know we could

Oah yes
There can be miracles
When you believe
Though hope is frail
It's hard to kill
Who know what miracle
You can achieve
When you believe
Somehow you will
You will when you believe"

Whitney Houston duet with Mariah Carey (When you Believe)
AMINI kaka,....

"Nlikuwepo":bolt:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom