wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Kwa ostazi?Wakuu mimi ni mkristo ila nna binti wa kiislam yaani ni mpenzi wangu, hii ni mara kama ya 4 anatoka kwao kuanzia saa 2 usiku anasema anaenda kwa Ostadh kuombewa duwa na huyo ostadh amekuwa akimpigia simu some time.
Ningependa kueleweshwa ili nisije nikawa nakosea maana kila sehem kuna imani na sheria zake ila ningependa kujua na kueleweshwa na ndugu zangu waislam kama kuna utaratibu wa mabinti kwenda usiku kupata huduma ya Dua pasipo kusindikizwa na mtu yeyote
Ni dua gani ya faragha baina ya watu wawili jinsia tofauti tena usiku , na mwanamke anaenda pasipo kuhitaji kusindikizwa na mtu yeyote tena usiku?
Hii ipo sawa?
Sory ulishakagua ule upande wa pili?