Leo mida fulani hivi nilimuuliza dogo langu ambae amepiga pepa la form mwaka jana 2020 anipe matokeo yake nikiwa na shauku labda dogo amepiga vizuri pepa.
Dogo ameniambia amepata Div 4 yenye D moja, na masomo mengine amepiga mswaki (F).
Hivi wakuu kuna Div 4 ya D moja kweli?
Dogo ameniambia amepata Div 4 yenye D moja, na masomo mengine amepiga mswaki (F).
Hivi wakuu kuna Div 4 ya D moja kweli?