Ukisema na kuendelea means hadi 5.0 hapa unapata chuo chochote dunian.Hivi kuna chuo kinacho degree kwa walimu Wa diploma wenye GPA ya 2.7 na kuendelea?....
Hahah....we jamaa u made my day.Na kama una GPA chini ya tatu unatakiwa kufanya nn kuresit form 6 au VP naomba kujua hlo
Au resit form six upate matokeo mazur uende moja kwa moja degree.Hahah....we jamaa u made my day.
Form six haihusian na GPA yako ya chuo maadam ulikuwa na vigezo vya kuingia chuo. Hata kama utapata one ya 3.
What you can do kama una kiu sana na degree anza upya hiyo diploma.