Spark
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 1,001
- 1,024
Hivi alowahi kutajirika au kupata mapesa magar na nyumba kwa hawa jamaa wa marketing kama wanavojinadi ni nani anipe ushuhuda? Mana vijana wengi saiv badala ya kufanya kazi nawaona wanavomiminika pale makumbusho juu ya lile gorofa wakitaka utajiri!! Cjui wanajiita global allayance..kujiunga uwe na 560,000
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app