Mtu wa Mungu
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 444
- 19
Ikionekana kwamba pressure ya sakata la Dowans inaelekea kupeleka taifa kwenye giza zaidi, haiwezekani yakafanyika malipo kinyemela, na jambo hili likazimwa kwa magakama kutoa uamuzi kiini macho????????????????? Lisemwalo lipo............!!!!!!!!!!!!!!