Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,913
- 14,797
Swali kama lilivyo hapo Juu
Naombeni majibu na mitazamo yenu
Picha imeongea yote jamaa
Naombeni majibu na mitazamo yenu
Picha imeongea yote jamaa
Kwa utamaduni wakiafrica ni ujinga na limbukeniZa J2
Swali kama lilivyo hapo Juu
Naombeni majibu na mitazamo yenu
Picha imeongea yote jamaa
View attachment 1025161
Siyo vibaya kama huna akili na mkeo naye hana akiliZa J2
Swali kama lilivyo hapo Juu
Naombeni majibu na mitazamo yenu
Picha imeongea yote jamaa
View attachment 1025161
Jibu sa
Wewe jeInategemea n'tu na n'tu...
Doh!
Jibu swal kwanza acha kupotezeaMambo ni mengi.
"heart broken"
HeheheehInategemea na jamii mnayoishi na jinsi mnavyojichukulia kwenye hiyo jamii.
Kwangu mimi ni vibaya, maadili yangu yananisuta! Nitamshika mabega, mgongo na mwisho kiuno ila kuchezea kalio ni ishu private zaidi!
Kwahiyo kama umezungukwa na rika lako we unashika Tu?Inategemeana kuna watu wa namna gani waliokuzunguka katika mazingira hayo
Sent using Jamii Forums mobile app
AyaSi sahihi