Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,172
- 34,278
Hakika, au pembezoni mwa mlango hua wanabana sana hapo na wanasem anapokuuma umuue vile akitembea ba sumu yake hua hivo hivohivo
hao tandu hawakai kwenye uchafu watu wanashindwa kuelewa...
tandu anakaa kwenye mashimo yaliyo ardhini na kwenye majani kwa hyo hata kama kwako una garden na mauwa mengi ujue tandu anaweza kukaa...
sasa kipindi cha mvua makazi yao yanaingia maji katika kutafuta sehemu kavu na joto ndio wanaingia ndani