dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,220
- 54,858
wako class moko na millipede(jongoo), anang'ata , ila tiba yake kama kawa, kitunguu swaumu ku neutralize sumu
Ndio huyosi tandu uyu ?
wako class moko na millipede(jongoo), anang'ata , ila tiba yake kama kawa, kitunguu swaumu ku neutralize sumu
Sio kichwa tu, yaani wewe kuandika hujuiKichwa cha abari kimekoea... Uwijj
Una mafua?Mwandiko wako siyo rafiki wa mazingira leo.Kichwa cha abari kimekoea... Uwijj
Una Mafia?Mwandiko wako siyo rafiki wa mazingita leo.
Sio kichwa tu, yaani wewe kuandika hujui
aaha okay.Ni ile hali ya uoga hivi..mpaka kitandani nlivolala nkawa nkifumbua macho namuona nakurupuka
hao tandu hawakai kwenye uchafu watu wanashindwa kuelewa...Yaani ni bora umesema mkuu..huyu jamaa kuingia ndani hachagui..unaweza ukawa msafi kuliko ndani lakini akatoka kwenye mashimo yake akaja kwako
hao tandu hawakai kwenye uchafu watu wanashindwa kuelewa...
tandu anakaa kwenye mashimo yaliyo ardhini na kwenye majani kwa hyo hata kama kwako una garden na mauwa mengi ujue tandu anaweza kukaa...
sasa kipindi cha mvua makazi yao yanaingia maji katika kutafuta sehemu kavu na joto ndio wanaingia ndani
NjoooSawa.ila naakia wanang'ata
Ndo niniNjooo
Hilo li mdudu ni noma akikungata maumivu yake sasa, naskia anasumu
Utotoni nilisikiaga kuwa uking'atwa na Tangu dawa yake ni maziwa ya mbwa. Sijui kama kuna ukweli wowote au lahUmeme umekatika.. Nlikua nasomasoma jf ghafla nahisi kitu mguuni akapenya anaingia ndani ya suruali.. Kama sio kujikunguta kwa nguvu sijui ingekuaje
Ana spidi kali
Hapa nkiguswa na mu naruka
Na je ikiwa atakung'ata ana sumu? Madhara yake?
Anaitwa centipede kwa kiingreza
Kiswahili tunamwita tanduView attachment 969232
Mimi ni dr wa vidudu kama hivyo njoo upate elimu bureeeNdo nini