harder king
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 3,970
- 6,898
Katoriki ndio kitu gani mkuuBora nchi wachukue waislam maana wana moyo wa uluma sisi wakatoriki cjui tunakwama wapi? Roho za kinaa,chuki ghiliba ata sielewi tuna tatzo gani yani kiongozi anapewa mamlaka anataka anao watawala walimie meno? Matajili waishi kama mashetani kweli? Hapana bwana nafkl twende na January makamba 2020 uzuri ametokea kagera kwa mama yake na ata gongo amewai kuuza pale kyaka japo baba yake ni mtu wa Tanga na mwislamu pure ila uyu anaweza kubalance nusu mwislamu nusu mkatoriki.
Jifunze kwanza kuandika siasa zitakuchakaza ubongo chief!