britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Ni vigumu kuamini sentensi kama hii maana uzi kama huu lazima uwe mchungu kwa
January Makamba
Mwigullu Nchemba
Bernard Membe
Hamiss Kigwangalla
Tundu Lissu
Paulo Makonda
Kwakuwa hawa ndio wanatajwa tajwa sana na watuwatu wanaokubaliana nao,
Lakin mliwai kufikiria Tanzania kuongozwa
A. KIJESHI ?
Maana sioni kama kuna mtu anawaza suala hili kwa kina, kwasababu si kila nchi inayotawaliwa kijeshi walipenda hapana, ni kwamba waliopewa dhamana by a uongozi awali walivuruga mpaka kuingilia demokrasia, uchumi wakauyumbisha, vikwazo juu ya vikwazo ili likapelekea jeshi makini kufanya mapinduzi, je mmeweka akilini kwamba ili laweza tokea?
B.KUONGOZWA NA MWANAMKE?
Tanzania yenye chama chenye nguvu kimoja yaani CCM, kinachezea demokrasia kitakavyo kulingana na mifumo ya kiutawala inayokibeba na akipita mtu automatically ndio anakuwa Rais,
Tumeona CCM ikianza mchezo wa chenga za gaucho kwenye kuteua wagombea mbali mbali,
Tuanze na spika wa bunge 2010,
Upitishwaji wa Magufuli 2015
Sasa usishangae kwa hali na mali wanaleta Mgombea Mwanamke, mbaya zaidi ukakuta ni Tulia Akson, so lazima huyo ila imebidi niwaze hivyo
Britanicca
January Makamba
Mwigullu Nchemba
Bernard Membe
Hamiss Kigwangalla
Tundu Lissu
Paulo Makonda
Kwakuwa hawa ndio wanatajwa tajwa sana na watuwatu wanaokubaliana nao,
Lakin mliwai kufikiria Tanzania kuongozwa
A. KIJESHI ?
Maana sioni kama kuna mtu anawaza suala hili kwa kina, kwasababu si kila nchi inayotawaliwa kijeshi walipenda hapana, ni kwamba waliopewa dhamana by a uongozi awali walivuruga mpaka kuingilia demokrasia, uchumi wakauyumbisha, vikwazo juu ya vikwazo ili likapelekea jeshi makini kufanya mapinduzi, je mmeweka akilini kwamba ili laweza tokea?
B.KUONGOZWA NA MWANAMKE?
Tanzania yenye chama chenye nguvu kimoja yaani CCM, kinachezea demokrasia kitakavyo kulingana na mifumo ya kiutawala inayokibeba na akipita mtu automatically ndio anakuwa Rais,
Tumeona CCM ikianza mchezo wa chenga za gaucho kwenye kuteua wagombea mbali mbali,
Tuanze na spika wa bunge 2010,
Upitishwaji wa Magufuli 2015
Sasa usishangae kwa hali na mali wanaleta Mgombea Mwanamke, mbaya zaidi ukakuta ni Tulia Akson, so lazima huyo ila imebidi niwaze hivyo
Britanicca