Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
Habari zenu wana JF
Jana nimeshuhudia kihoja nyumbani kwangu kaja Jamaa mmoja (aliyenipokea huku niliko), kaanza kunililia ndani mwangu nikabaki nashangaa kulikoni? Katulia kidogo kaanza kunieleza habari za nyumbani kwake.
Ameoa 10yrs ago na mkewe walikuwa wakipendana sana lakin tabia ya mkewe imebadilika baada ya yeye kufungua baa, kila mkewe akienda baa mteja atakayemtongoza anaondoka nae na huyo mteja akishashitukiwa harudi tena, Sasa issue ni kwamba mother house kahamisha vitu vyote ndani halafu kasema hajui vilipokwenda na amebadilika ile mbaya si kama zamani kawa na jeuri ile mbaya, sasa jamaa anamuuliza mke wangu vitu vya ndani viko wapi amejibiwa kuwa mie sina mume, mume wangu ameshakufa toka juzi na sasa hivi ni mwanaume anayekuja kunichukua next weekend anasema anajibu kwa jeuri ile mbaya. Jamaa ameshindwa afanyaje sasa mke vitu kachukua ndani , jamaa anashinda analia tu hata kazini kaomba ruhusa ya ugonjwa. Jamani afanyeje katika hili mie limenichanganya sana nikasema kumbe kuna wanaume wengine wapole hivi na wanaweza kuonewa na wanawake nimeshangaa mpaka sasa. Nisaidieni
Jana nimeshuhudia kihoja nyumbani kwangu kaja Jamaa mmoja (aliyenipokea huku niliko), kaanza kunililia ndani mwangu nikabaki nashangaa kulikoni? Katulia kidogo kaanza kunieleza habari za nyumbani kwake.
Ameoa 10yrs ago na mkewe walikuwa wakipendana sana lakin tabia ya mkewe imebadilika baada ya yeye kufungua baa, kila mkewe akienda baa mteja atakayemtongoza anaondoka nae na huyo mteja akishashitukiwa harudi tena, Sasa issue ni kwamba mother house kahamisha vitu vyote ndani halafu kasema hajui vilipokwenda na amebadilika ile mbaya si kama zamani kawa na jeuri ile mbaya, sasa jamaa anamuuliza mke wangu vitu vya ndani viko wapi amejibiwa kuwa mie sina mume, mume wangu ameshakufa toka juzi na sasa hivi ni mwanaume anayekuja kunichukua next weekend anasema anajibu kwa jeuri ile mbaya. Jamaa ameshindwa afanyaje sasa mke vitu kachukua ndani , jamaa anashinda analia tu hata kazini kaomba ruhusa ya ugonjwa. Jamani afanyeje katika hili mie limenichanganya sana nikasema kumbe kuna wanaume wengine wapole hivi na wanaweza kuonewa na wanawake nimeshangaa mpaka sasa. Nisaidieni