mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 7,658
- 9,761
Ndio dawa yao maana wabongo ni wanafki sana
Mimi hii yangu natumia muda mwingi nipo pekee yangu. Maana nimegundua watu ni wanafiki sana.... Siazimi hata mtu akiniomba labda iwe msiba au kuna dharula ya mgonjwa. Ila mambo ya sijui harusi watakwenda kukodi uber huko.