baina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 219
- 59
ninashida ya kujua yafuatayo ili nijue jina la nchi yangu;
1. tanganyika na zanzibar ziliungana, mbona zanzibar bado ipo lakini tanganyika hiyoooooooooo?
2. mbona zanzibar kuna rais, makamu, jaji mkuu, bendera ya taifa, wimbo wa taifa n.k ?
3. kimichezo, zanzibar ina timu ya taifa?
4.mbaya zaidi kuna hata katiba?
5. kama tanganyika iliungana na zanzibar na kuwa na nchi moja, inakuwaje nchi moja iwe na marais wawili?
6. kimichezo, eti timu ya taifa ya tanzania na timu ya taifa ya za'bar maana yake nini? tz ni bara visiwani?
7. je, tanzania ni wapi?
8. kama wenzetu manazidi kujiita wazan'bar kwanini nami nisijiite mtanganyika? na je nikifanya hivyo nitaeleweka?
9. kwa kuwa tayari nitajiita mtanganyika je nikisema mimi sina rais nitakosea, kwani rais aliyepo ni wa tanzania?
Naomba majibu kwani haya mambo yananikera sana.
1. tanganyika na zanzibar ziliungana, mbona zanzibar bado ipo lakini tanganyika hiyoooooooooo?
2. mbona zanzibar kuna rais, makamu, jaji mkuu, bendera ya taifa, wimbo wa taifa n.k ?
3. kimichezo, zanzibar ina timu ya taifa?
4.mbaya zaidi kuna hata katiba?
5. kama tanganyika iliungana na zanzibar na kuwa na nchi moja, inakuwaje nchi moja iwe na marais wawili?
6. kimichezo, eti timu ya taifa ya tanzania na timu ya taifa ya za'bar maana yake nini? tz ni bara visiwani?
7. je, tanzania ni wapi?
8. kama wenzetu manazidi kujiita wazan'bar kwanini nami nisijiite mtanganyika? na je nikifanya hivyo nitaeleweka?
9. kwa kuwa tayari nitajiita mtanganyika je nikisema mimi sina rais nitakosea, kwani rais aliyepo ni wa tanzania?
Naomba majibu kwani haya mambo yananikera sana.