Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Hivi nchi hii, awamu hii ya uchumi wa kati, yaani ukiimba wimbo wa Taifa wakati unapandisha bendera ya chama cha siasa ni kosa lisilokuwa na dhamana? Wanasheria hebu tusaidieni.
Ndugu zetu pichani chini wako ndani miezi zaidi ya mitatu bila dhamana huko Singida kisa waliimba Wimbo wa Taifa wakati wanapandishwa bendera ya chama chao. Huu ndio ucha Mungu tunaouhubiri kila siku?
Ndugu zetu pichani chini wako ndani miezi zaidi ya mitatu bila dhamana huko Singida kisa waliimba Wimbo wa Taifa wakati wanapandishwa bendera ya chama chao. Huu ndio ucha Mungu tunaouhubiri kila siku?