Ndugu!
Nani anaweza kuniambia mfano; Tathimini ya gharama inayolipwa kwa kumhamisha mkuu wa mkoa kutoka Dar kwenda Tabora? Au kutoka Dar kwenda Katavi? Au pengine tuchukulie mfano kutoka Kagera kwenda Dar au Singida? ...
Nini faida ya kumtoa mkuu sehemu moja kwenda nyingine kiuchumi?
Lakini pia naomba mwenye kujua faida ya kiuchumi kwa kumtumbua mtumishi wa umma kwa ahadi ya kumpangia kazi nyingine faida zake ni zipi?
Mwenye majibu tafadhali!
Nani anaweza kuniambia mfano; Tathimini ya gharama inayolipwa kwa kumhamisha mkuu wa mkoa kutoka Dar kwenda Tabora? Au kutoka Dar kwenda Katavi? Au pengine tuchukulie mfano kutoka Kagera kwenda Dar au Singida? ...
Nini faida ya kumtoa mkuu sehemu moja kwenda nyingine kiuchumi?
Lakini pia naomba mwenye kujua faida ya kiuchumi kwa kumtumbua mtumishi wa umma kwa ahadi ya kumpangia kazi nyingine faida zake ni zipi?
Mwenye majibu tafadhali!