Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 19,605
- 59,479
Sasa hizo stori za chupi nani kakufundisha!? Au upenda kunusa chupi za wanaweke!? Wewe ni domo zege!?Mi si ke, so hizo jinunulie mwenyewe! 🤣 🤣 🤣
🤣 🤣 🤣
Sasa hizo stori za chupi nani kakufundisha!? Au upenda kunusa chupi za wanaweke!? Wewe ni domo zege!?Mi si ke, so hizo jinunulie mwenyewe! 🤣 🤣 🤣
Domo zege ni mondi! 🤣Sasa hizo stori za chupi nani kakufundisha!? Au upenda kunusa chupi za wanaweke!? Wewe ni domo zege!?
🤣 🤣 🤣
Mzee hebu ondoa utumbo basi. Naona leo umepata free WiFi. Hebu usinichoshe mzee, wewe ni jobless upo free every time. 🤣 🤣 🤣Domo zege ni mondi! 🤣
😂 😂 😂 Kalale, acha kulia lia hapa!Mzee hebu ondoa utumbo basi. Naona leo umepata free WiFi. Hebu usinichoshe mzee, wewe ni jobless upo free every time. 🤣 🤣 🤣
Venus huyo hapo! 🤣 🤣 🤣 Hapendi utumwa eti! 🤣 🏃🏾 🏃🏾 🏃🏾Haya Waafrika wenzangu turudi kwenye roots
Hehehe!!! Huwa ufala uliopitiliza mtu anasema yeye hajakoloniwa kwamba yupo huru ila anajiita Mtanzania, tuanzie tu hapo hilo kujiita Mtanzania tayari ni ukoloni maana mipaka imechorwa na mkoloni, hakukua na Utanzania wala Tanzania kabla ujio wa mkoloni, yeye alikuja akachora na kusema uitwe na kujiona Mtanzania...ujinga sana halafu unakuta mtu amevimbiwa ubwabwa anasema yeye yuko huru kila idara.
Kuna Tofauti kati ya Tanzania na Tanganyika.. Elewa hivyo Tanzania ni yawatanzania na Tanganyika ni yawakoloni