Hivi kuchukua kombe la dunia ni kipimo cha uchezaji bora?

Bila ubishi wote tunajua kuwa Leonel Messi ndiyo mchezaji bora kutokea tokea dunia iumbwe. Ila kumekuwa na haters wachache wakisema hawezi kuwa bora mpaka abebe kombe la dunia, kweli? Kombe la dunia linachezwa kwa muda wa mwezi mmoja kila baada ya miaka minne. Timu hadi kuchukua kombe inakuwa imecheza mechi saba. Je mashindano mafupi hivyo yanatosha kupima ubora wa mchezaji au ni uhater tu?
Yeah maana timu ya taifa hainaga usajili hivyo uwezo binafsi wa mchezaji ndio unaonekana mfano kwa bale akiwa wales ndio unamuona kwa uhalisia kuliko akiwa na stae studded real madrid team au kma messi akiwa argentina unamuona kwa uhalisia kuliko barca kulikoja masuperstar

Kipimo cha juu cha uwezo wa mchezaji ni timu ya taifa maana kma hauna masuperstar huwezi sajili hivyo tunaona uhalisia wa wachezaji kwahyo nakubaliana na hoja kuwa kombe la dunia ndio kipimo cha uwezo wa mchezaji
 
Magoli 565?? Wakati pele ana magoli 1350!!!! Get real messi sio all time labda ni best kwenye karne hii ila kma wwe ni mfuatiliaje wa classic football utagundua hata di stefano tu hafikiwi na messi
Mkuu hayo magoli 1000 ni offside sasa hata wewe si ungefunga kibao au kwa jinsi penado anavyotupia magoli ya offside ingekuwa ndio bado offside ni ruksa angekuwa anaondoka na bao 30 kwa mechi
 
Mkuu hayo magoli 1000 ni offside sasa hata wewe si ungefunga kibao au kwa jinsi penado anavyotupia magoli ya offside ingekuwa ndio bado offside ni ruksa angekuwa anaondoka na bao 30 kwa mechi
Ila unasahau kulikuwa unapigwa viatu hamna red card

Unasahau kulikuwa hakuna matuta baada ya dakka 120 yaani kesho yake mechi inarudiwa upya

Unasahau pia kulikuwa hakuna sub kma sahvi hivyo mmoja akiumia ndio imekula kwenu

Huoni jinsi jamaa alivyoshine kwenye wakati mgumu sana!!!!
 
At mess mchezaj bora wa dunia toka dunia iumbwe
Ww n bogaz kapimwe akili

Mess n nan sasa

Kaka,zidane,ronadhinho japo
Jina hapo co sahihi

Hao n baadh tu hapa apae
Juu hawez kuwapata
 
Robaldinho alichimzidi messi ni umri pekee kapitwa kila kitu kuanzia balllon d or hadi goals assist na kila kitu gaucho hawez kupita msitu hata akienda kuroga sumbawanga
Ww hujui unachosema unelewa
Tu ushabik maandaz
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Ila unasahau kulikuwa unapigwa viatu hamna red card

Unasahau kulikuwa hakuna matuta baada ya dakka 120 yaani kesho yake mechi inarudiwa upya

Unasahau pia kulikuwa hakuna sub kma sahvi hivyo mmoja akiumia ndio imekula kwenu

Huoni jinsi jamaa alivyoshine kwenye wakati mgumu sana!!!!
Mkuu nishushe Chalinze sio kwa chai hizo
 
Magoli 565?? Wakati pele ana magoli 1350!!!! Get real messi sio all time labda ni best kwenye karne hii ila kma wwe ni mfuatiliaje wa classic football utagundua hata di stefano tu hafikiwi na messi
Kizazi hiki wacheza mpira wapo,ila mafundi wa mpira hawapo,ukitaka kuliamini hilo angalia huu ni mwaka wa 10 wachezaji bora wa dunia ni wawili tu,nenda kwenye kizazi cha akina Ronaldo delima,zidane,figo,nedved,Rivaldo,canavalo,kaka, george weah,Ronaldinho fundi na wengine wengi.kizazi hiki kuchukuwa uchezaji bora wa dunia ufanye kaz kweli lakin mpaka sasa hivi ukiuliza uchezaji bora wa mwezi wa kwanza nani na nani wataingia top 3,bac Ronaldo na messi mwingine hatujui.kwa upande wangu mchezaji bora wa muda wote anatoka kwenye kizazi hiki ambacho nilikiona,na labda na kizazi cha akina Romalio na Pele na maradona ambacho ckukiona ndomaana ni kasema greet talented in history of football is gaucho. kizazi hicho hata okocha ajaingia hata kwenye top 5,unafikiri ni mchezo
 
Mkuu nishushe Chalinze sio kwa chai hizo
Haahahahahahaha kweli mkuu kuanzia 1950 sheria zilikuwa hivo

Hyo ya penalty kagoogle mechi ya brazil vs poland iliisha 4-4 ikarudiwa kesho yakw asbuhu brazil wakashinda 2-1 tena superstar wao alikuwa didi

Kuhusu substiution hivi unajua sub ya kwanza imeanza kipindi pele ameanza mpira miaka ya 50??? Mechi ya ujerumani na saarland?? Hivi unajua kufikia 1988 sub zilikuwa 2 tu tena mpaka injuries?? Kafuatilie mkuu

Kuhusu red card kma red card imeanza kutumika 1970 world cup sasa kipi nmekudanganya???
 
Kizazi hiki wacheza mpira wapo,ila mafundi wa mpira hawapo,ukitaka kuliamini hilo angalia huu ni mwaka wa 10 wachezaji bora wa dunia ni wawili tu,nenda kwenye kizazi cha akina Ronaldo delima,zidane,figo,nedved,Rivaldo,canavalo,kaka, george weah,Ronaldinho fundi na wengine wengi.kizazi hiki kuchukuwa uchezaji bora wa dunia ufanye kaz kweli lakin mpaka sasa hivi ukiuliza uchezaji bora wa mwezi wa kwanza nani na nani wataingia top 3,bac Ronaldo na messi mwingine hatujui.kwa upande wangu mchezaji bora wa muda wote anatoka kwenye kizazi hiki ambacho nilikiona,na labda na kizazi cha akina Romalio na Pele na maradona ambacho ckukiona ndomaana ni kasema greet talented in history of football is gaucho. kizazi hicho hata okocha ajaingia hata kwenye top 5,unafikiri ni mchezo
Umeongea ukweli kabisa mkuu

Kula like nyingine
 
Sio utwae tu kombe la dunia bali uonekane bila wewe hakuna team na msaada wako wa kutwaa mauaji uonekane
Sifa hii anayo pelle pekee wa brazili na ndiyo ameifungia mabao muhimu Brazil na kutwaa nayo makombe ya dunia matatu

Kwangu mimi mchezaji namba moja duniani kuwahi kutokea ni pelle pekee

2=messi
3puskas
4 maradona
5 zidane
 
Magoli 565?? Wakati pele ana magoli 1350!!!! Get real messi sio all time labda ni best kwenye karne hii ila kma wwe ni mfuatiliaje wa classic football utagundua hata di stefano tu hafikiwi na messi
Ameyafungia wap hayo Pele ndondo cup?
Ikiwa Brazil amebakizwa goal 25 na neymar kufunika utawala wake
 
Ameyafungia wap hayo Pele ndondo cup?
Ikiwa Brazil amebakizwa goal 25 na neymar kufunika utawala wake
Embu pima uzito wa mechi alizofunga pele kuminganisha na neymar!!

Goli za pele nyingi ni crucial mfano worldcup alitoka na goli 12 ambazo zote zilikuwa goli muhim sana kwenye hatua za mitoano!!! Huyo neymar ana crucial goals gani ukiachilia makombe mangapi pele alikuwa ameshapata akiwa umri huhuu wa neymar!!! au magoli baada ya kutengewa pasi na messi ndio unamuona jembe??
 
Back
Top Bottom