Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Hivi hapa Tanzania kuna cyber crimes unit? Na je mtu kupotosha umma na kuandika uongo kwenye mitandao ni kosa la jinai? The cyber crimes Act section 16 (2015)
Naogopa kuwekewa poloniumJenga hoja yako ukiambatanisha na ushahidi ili uonekane uko sahihi. Siyo watanzania wote watakao elewa lengo la hii mada yako. Kama kuna mtu unamtuhumu, toa taarifa kwenye vyombo husika ili hiyo sheria ifuate mkondo wake.