nalekazo sajaid
Senior Member
- Jun 28, 2014
- 117
- 13
mm sitaki siasa, bora turudi kuishi kifalme
l
Lowasa ni Fisadi sawa una uhakika?can you prove it?Tanzania kitu tunachoshindwa kuelewa kuna VYAMA na TAIFA.tutakapoweza kuelewa matakwa ya nchi kwanza then vyama tutafika mbali....Mimi mwana CCM kitambo,ila nchi kwangu inakuja kwanza then chama kitafuata...sio kila kitu u have to say kizuri hata kama hakipo katika level nzuri...ccm lazima wabadilike