Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Nilikuwa nasoma jarida moja mitandaoni imeonekana miaka ya hivi karibuni wanawake wengi wamekuwa wakiwanyanyasa wanaume kimwili, kifikra na kisaikolojia.
Kwa wale wasiofahamu, ukisikia mwanaume ananyanyaswa na mwanamke wake kimwili, kifikra na kisaikolojia ujue hapo tunazungumzia mwanaume kunyimwa tendo la ndoa, mwanaume kusimangwa na mwanamke wake, mwanaume kila saa kutukanwa, mwanaume kufanyiwa vitibwi vya kila aina na mengineyo
Je, ni kwanini wanawake wanawafanyia hivi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wale wasiofahamu, ukisikia mwanaume ananyanyaswa na mwanamke wake kimwili, kifikra na kisaikolojia ujue hapo tunazungumzia mwanaume kunyimwa tendo la ndoa, mwanaume kusimangwa na mwanamke wake, mwanaume kila saa kutukanwa, mwanaume kufanyiwa vitibwi vya kila aina na mengineyo
Je, ni kwanini wanawake wanawafanyia hivi?
Sent using Jamii Forums mobile app