Hata mimi naonaga ni upotevu wa Muda na fedha
kwani nyingi hufundisha vitu ambavyo not
applicable at all
Ndugu zangu ninaomba kuuliza zaman kulikuwa na unyago hii ilikuwa ina2mika sana kwa ajili ya kuwafunza wanawake ila kutokana na maendeleo ndo kunaki2 kikaja kinaitwa kichen part nilikuwa ninauliza mana hz kichen part ukiwa nje hayo maneno wanayo2mia kumuelekeza mwanamke yan huwa hayana nadhaa mana dah! Hebu 2saidiane mm ninaona wanamwalibu mwanamke labda anachopata ni vyombo 2uu ila wanamtia kibur 2uu au mnaonaje?
Inategemea na nani anafanya hiyo kitchen party.............ikifanywa na ma-aunt wa mujini ndo hayo ya kufundishwa mambo ya ajabu ajabu na yasiyo applicable,but kuna watu wanafanya nyingine utafikiri uko kanisani,watu wanakufunza kwa kutumia neno la Mungu na misingi ya dini na hayo mambo ya vyombo yako kama kawaida...........Ila ni ukweli,kwa kuna nyingine fulani ni upuuzi mtupu!
mtoa mada ni she au he.kama ni he mjomba unatisha!! unackilizaga kw nje!! respect