Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
Nimekuwa nikisikia watu wanasema, mwanamke kugawa K yake kabla ya ndoa ni upuuzi, kama mwanamme anakupenda atakuoa.
Hapo hapo wanamme wanatukuzwa kwa kujaribu kabla ya ndoa.
Sasa swali langu, je, kweli kipimo cha upendo kati ya wawili ni ndoa tu?
Hapo hapo wanamme wanatukuzwa kwa kujaribu kabla ya ndoa.
Sasa swali langu, je, kweli kipimo cha upendo kati ya wawili ni ndoa tu?