Hivi kinachofanya Maria Sarungi na Fatma Karume wawe wanaharakati namna ile ni nini?

Sahihi kabisa..

Maria na Fatma sio wanaharakati. Maria ameanza kukosoa serikali baada ya kunyimwa tender za PR kwenye taasisi za serikali. Huko alikuwa alipiga pesa ndefu sana na alivyoingia Magu akakata huo mzizi ndio harakati zikaanza..

Kwangu Mimi ni bora ya Fatma kuliko Maria, Fatma hablock mtu, Maria ukimchallenge kidogo tu anakimbilia kukublock alafu anajiita mpigania uhuru wa kujieleza
Huyo Fatma nae ni bingwa wa kublock kama hujui
 
Hakuna wanaharakati hapo, Ni utumbo tu. Wanachojua zaidi ni kublock watu wanaowakosoa tu
 
UKIWA HUNA NJAA NI RAHISI SANA KUONGEA UKWELI NA KUSIMAMIA HAKI.

KABUDI NA POLEPOLE WAKATI WA MCHAKATO WA KATIBA WALIONGEA UKWELI HADI NCHI IKATIKISIKA. WALIPOWEKA NJAA KICHWANI NDIO MATOKEO TUKAYAONA.

KIGWANGALA NI DR. ANAJUA KABISA KUFUKIZA SIO DAWA YA CORONA ILA ALIKAA KIMYA ILI KULINDA UGALI WAKE. SASA HIVI MAGU KAFA ANASEMA UKWELI WOOOOTE!.
 
Malezi, makuzi kutoka kwa wazazi wao na jamii yenye ustaarabu bila kusahau exposure imesaidia kuwajenga hawa, mimi na wewe tuwajenge vyema watoto wetu.
Ila Maria sarungi anaujinga mwingi...nimemdharau sana kwenye ishu ya BET. Kumbe anaakili ndogo sana tofauti na nilivyokua namfikiria
 
Kwanza kabisa napenda kazi ya hawa watu. Tungekuwa na watu kumi kama hawa nchi ingekuwa inaenda kwenye mtaari mnyoofu kabisa na kufuata sheria.

Swali najiuliza nini kipo ndani yao kinawafanya wawe wanaharakati wajasiri namna ile?

Je, ni elimu waliyo pata. Kuna elimu mtu unapata inakufanya usiwe muoga wala usiogope kuhoji, elimu inayokufanya utambue haki zako na inayokufanya uzitetee.

Achana na hizi elimu za kuchapana fimbo, kukaripiana ambazo hata kuuliza swali darasani unaogopa.

Je, ni connections za wazazi wao ndiyo zinawafanya kuwa majasiri namna ile?

Au ni damu iliyo ndani yao, maana hawa wote ni machotara. Kuna wanavyotetea unaweza dhani kuna white savior complex.

Sasa ni vema kuwa na kizazi cha watu wanaojua haki zao na wanaoweza kuzitetea, nini kilichopoa kwa watu hawa ili tukiduplicate?
Huyo binti karume ni mwanasheria mkongwe hivyo usishangae upeo wake kuwa juu
 
Ata mwanaharakati anakuwa na specific cause anayosimamia na hana upande wa siasa.

Maria na Fatma sio wanaharakati ni wanasiasa ata hawajui wanasimamia nini. Kikubwa zaidi ni spoilt rich brats with too much time on their hands and mental case. If you ask me wanachekewa sana.

Unaweza kumuweka na Kigogo2014 on that list, yule ndio ana psychology issue kabisa he is obsessed with self grandiose; he can hack so what? But everyone knows much of the info anatumiwa tu.

Wao wana attack mtu yeyote kwenye macho yao ambae atoi support kwenye cause yao ya kipuuzi.

Umenena vyema! Wachache watakuelewa.
Hata mm huwa siwaelewi
 
Kinachotufanya sisi tuonekane hatujui Haki n family Backbround tulizotokea incase of education base za hii nchi yetu Kwa vizazi vyetu na sisi tusipokua makini Na watoto na vitukuu mpaka vilembwe na vilembwekeze vitakua Havijui Masuala ya Haki.
 
Wote wale waliguswa maslahi yao!

Kama unabisha jiulize hizo haki zimeanza kukosekana baada ya Magu kutwaa madaraka?


Ulimboka aling'olewa menu mpaka karibu ya kufa

Mwandishi wa chanel tena alisambaratishwa na bomu kuke iringa

Dr. Mvungi aliukiwa kinyama tukaambiwa ni majambazi ila ishu kubwa ilikuwa ni katiba

Mkutano wa chadema kule arusha watu 5 walikufa kwa bomu.

Yote hayo yalifanyika awamu ya nne, lakini kwa kuwa hao wanaharakati wakikuwa kwenye chain ya ulaji hawakuwayaona ila Magu alipo kata zile chain tu ndio wakawa wanaharakati.
 
Watoto wa wakubwa...


Fanya vile wewe uone..

Hakuna usawa hapa...huyo Fatma kwa huku znz..angekuwa hana ngao..angeshafukuzwa...arudi kwao Malawi...
 
Back
Top Bottom