Hivi kile kizazi cha watumwa waliokuwa wanachukuliwa na waarabu kutoka Tanganyika kiliishia katika taifa/mataifa yapi?

Financial Analyst

JF-Expert Member
Nov 27, 2017
1,792
3,285
Leo tunaona 13% ya population ya Marekani ikiwa ni ya watu weusi wengi wao kwa asilimia maradufu ni kizazi cha watumwa waliochukuliwa kutoka west africa.

Hivi wale waliokuwa wanatekwa wakina abushiri walipelekwa wapi na mark yao leo iko wapi.

Au walichukuliwa kwa uchache na kusambazwa maeneo tofauti ya waarabu?

Au walifutwa kama vile walivyofutwa wa pale argentina?
 
Nafikiri waliwauza kwa wazungu wengi wao.

Na kidogo wakapelekwa uarabuni

Nimekaa nchi za kiarabu nyingi na nimewaona watu weusi na hata Viongozi wakubwa na hata kwenye majeshi wamo wengi tena wenye vyeo vikubwa sana mpaka marubani nimewaona

Nimefanya nao kazi
Ila nilikuja kushangaa nilipokutana na Mpalestina mweusi
 
Wewe muanzisha mada na hayo wenzio mtakuwa wapumbavu either kwq kujua au kutojua hivi mnasoma kweli ya ulimwengu au mpo comfotable hapo kwa mtogole? 👇👇 Huyu ni nani ni bibi yako? Au nikuletee wengine?
 

Attachments

  • Screenshot_2025-01-08-18-11-35-521_com.android.chrome.jpg
    Screenshot_2025-01-08-18-11-35-521_com.android.chrome.jpg
    362.2 KB · Views: 3
Leo tunaona 13% ya population ya Marekani ikiwa ni ya watu weusi wengi wao kwa asilimia maradufu ni kizazi cha watumwa waliochukuliwa kutoka west africa.

Hivi wale waliokuwa wanatekwa wakina abushiri walipelekwa wapi na mark yao leo iko wapi.

Au walichukuliwa kwa uchache na kusambazwa maeneo tofauti ya waarabu?

Au walifutwa kama vile walivyofutwa wa pale argentina?
Kuna uzi ulianzishwa jana tu leo mwengine.

Kifupi mkuu sehemu pekee watu weusi waliofanikiwa ni Uarabuni, ndio sehemu pekee utakuta scientist wakubwa, Maprofessor na madokta vyuoni, maEngineer na watu wengine wenye heshima.

Afro Arabs sio masikini ama waganga njaa kama weusi wengine wanaopatikana mataifa mbalimbali Duniani.

Hii comment yangu nilipost jana nacopy na ku paste hapa.

1. Mtu mweusi Tajiri Duniani huwa wanapokezana Baina ya Dangote na Al Amoud Bilionea Wa Saudia, Hakuna Mweusi yoyote Ulaya ama Usa anaegusa kwa Al Amoud
View attachment 3195316

2. Kuna Viongozi Kibao wenye Asili ya Africa ama ambao wame changanya kama Marehemu Qabous wa Oman pamoja na Baba yake, Mfalme wa Zamani wa Kuwait etc hii picha ya Lineage ya Sabah Familia ya viongozi wa Kuwait
View attachment 3195329
View attachment 3195330

3. Ukiangalia makampuni makubwa Makubwa ya Saudia na Arabuni kwa Ujumla utawakuta hao Black Arabs wakiwa na positions kubwa kubwa kama MA CEO, MA Engineer wakubwa, Madaktari etc kifupi kazi zinazohitaji akili.

-Ahmad Hawsawi CEO wa Siemens Saudia
View attachment 3195331

-Abdulelah AlHawsawi
Founder wa Saudi Patient safety centre kama Colaborate centre ya Who (Zipo 5 tu dunia nzima) na ni member wa WHO kwenye same field, pia anakuwa hadi Chairman vikao vingi vya WHO
View attachment 3195336

-Ingia website yoyote inayolist research papers na wanasayansi eka ukoo wowote wa watu weusi Wa Saudia kama huo wa Hawsawi angalia Contribution zao


Hakuna popote Pale Duniani utapata Viongozi wazuri weusi tofauti na Nchi za kiarabu, hakuna popote Duniani utapata watu weusi wasomi tofauti na Nchi za kiarabu hakuna popote pale Duniani utapata watu weusi Wenye Hela tofauti NA nchi za kiarabu huo ni ukweli mchungu ambao wengi hawataki kukubali.
 
Leo tunaona 13% ya population ya Marekani ikiwa ni ya watu weusi wengi wao kwa asilimia maradufu ni kizazi cha watumwa waliochukuliwa kutoka west africa.

Hivi wale waliokuwa wanatekwa wakina abushiri walipelekwa wapi na mark yao leo iko wapi.

Au walichukuliwa kwa uchache na kusambazwa maeneo tofauti ya waarabu?

Au walifutwa kama vile walivyofutwa wa pale argentina?
Waarabu walikuwa ni wauza bidhaa na wazungu walikuwa ninwanunua bidhaa kwa ajili ya Cheap labour
 
Kuna uzi ulianzishwa jana tu leo mwengine.

Kifupi mkuu sehemu pekee watu weusi waliofanikiwa ni Uarabuni, ndio sehemu pekee utakuta scientist wakubwa, Maprofessor na madokta vyuoni, maEngineer na watu wengine wenye heshima.

Afro Arabs sio masikini ama waganga njaa kama weusi wengine wanaopatikana mataifa mbalimbali Duniani.

Hii comment yangu nilipost jana nacopy na ku paste hapa.

1. Mtu mweusi Tajiri Duniani huwa wanapokezana Baina ya Dangote na Al Amoud Bilionea Wa Saudia, Hakuna Mweusi yoyote Ulaya ama Usa anaegusa kwa Al Amoud
View attachment 3195316

2. Kuna Viongozi Kibao wenye Asili ya Africa ama ambao wame changanya kama Marehemu Qabous wa Oman pamoja na Baba yake, Mfalme wa Zamani wa Kuwait etc hii picha ya Lineage ya Sabah Familia ya viongozi wa Kuwait
View attachment 3195329
View attachment 3195330

3. Ukiangalia makampuni makubwa Makubwa ya Saudia na Arabuni kwa Ujumla utawakuta hao Black Arabs wakiwa na positions kubwa kubwa kama MA CEO, MA Engineer wakubwa, Madaktari etc kifupi kazi zinazohitaji akili.

-Ahmad Hawsawi CEO wa Siemens Saudia
View attachment 3195331

-Abdulelah AlHawsawi
Founder wa Saudi Patient safety centre kama Colaborate centre ya Who (Zipo 5 tu dunia nzima) na ni member wa WHO kwenye same field, pia anakuwa hadi Chairman vikao vingi vya WHO
View attachment 3195336

-Ingia website yoyote inayolist research papers na wanasayansi eka ukoo wowote wa watu weusi Wa Saudia kama huo wa Hawsawi angalia Contribution zao


Hakuna popote Pale Duniani utapata Viongozi wazuri weusi tofauti na Nchi za kiarabu, hakuna popote Duniani utapata watu weusi wasomi tofauti na Nchi za kiarabu hakuna popote pale Duniani utapata watu weusi Wenye Hela tofauti NA nchi za kiarabu huo ni ukweli mchungu ambao wengi hawataki kukubali.
Waambie hao wajinga wajinga
 
Leo tunaona 13% ya population ya Marekani ikiwa ni ya watu weusi wengi wao kwa asilimia maradufu ni kizazi cha watumwa waliochukuliwa kutoka west africa.

Hivi wale waliokuwa wanatekwa wakina abushiri walipelekwa wapi na mark yao leo iko wapi.

Au walichukuliwa kwa uchache na kusambazwa maeneo tofauti ya waarabu?

Au walifutwa kama vile walivyofutwa wa pale argentina?
Subir wavaa kobazi waje hapa kuwatetea mabwana zao
 
Bora kusoma kuongeza elimu kidogo, kuliko kuandika comment kubaki na ujinga. Hebu waulizeni waliofika Oman raiq walio wengi ni weupe ama weusi? Mfanyabiashara mkubwa wa utumwa alikuwa ni mzungu huyo mwarabu labda alikuwa anapiga winga tu.
Mmeshafika wavaa kibazi na vipedo 😀,kwanin hamtakagi kukubali kuwa waarabu waliwaua na kuwahasi watumwa waliopelekwa uarabuni?
 
Nafikiri waliwauza kwa wazungu wengi wao
Na kidogo wakapelekwa uarabuni
Nimekaa nchi za kiarabu nyingi na nimewaona watu weusi na hata Viongozi wakubwa na hata kwenye majeshi wamo wengi tena wenye vyeo vikubwa sana mpaka marubani nimewaona
Nimefanya nao kazi
Ila nilikuja kushangaa nilipokutana na Mpalestina mweusi
Unaona sasa mtu hajawahi fika hata hapo Zanzibar au hata Horiri kashajibu eti walifutwa wote jamani
 
Back
Top Bottom