Hivi starehe ya hizo (Subaru, alteeza) ni kukimbia sana au mingurumo? Mbona Gx 100 inakimbia pia lakini wamiliki wake hawana makeke sana?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani kuna kigari sijui ni alteza sijui ni subaru ikifika mda wa saa sita unusu hadi tisa hivi usiku wa manane huko barabarani kuna kigari hua kinapiga kelele sana zile za mufler/exousity
Hivi huyu mwenye hicho kigari au dereva mda huo anakuwa anachezea hicho kigari kwa kuwa mda huo barabara inakuwa free kwa maana kwamba matrafiki hawapo au kwa kuwa mda huo babrabar ina kuwa nyeupe ndo anachezea anavyotaka..
Kila siku anakimbazana nacho saa6 toka ubungo mpaka kibaha?Mbona mna muandama, anaeza akawa ni boda boda au dereva wa daladala kwa hiyo anakua na fursa ya kupishana au kukimbizana na hiko "kigari"
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna Jamaa wana magari Aina ya alteza tupu Kama kumi hivi usiombe kukutana nao wakienda kula gambe wanajiita team altezaMbona mna muandama, anaeza akawa ni boda boda au dereva wa daladala kwa hiyo anakua na fursa ya kupishana au kukimbizana na hiko "kigari"
Sent using Jamii Forums mobile app
Kimya babu, huku kwetu carpe Verde hakijapitaNipo nanjilinji huku nilitegesha alarm nimeamka usiku sijasikia..sijui wenzangu wa maeneo mengine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wee jamaa mseng.e sana unaandika habari km unaelezea masela wako maskani,jf iko kila ba member kila kona ya dunia,wacha kuassume boya andika uelewek km rijali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko mshazoea mkokoteni wa punda gari wapi nabwapiNipo nanjilinji huku nilitegesha alarm nimeamka usiku sijasikia..sijui wenzangu wa maeneo mengine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatimaye umeamia dsm mkuu....?Yani kuna kigari sijui ni alteza sijui ni subaru ikifika mda wa saa sita unusu hadi tisa hivi usiku wa manane huko barabarani kuna kigari hua kinapiga kelele sana zile za mufler/exousity
Hivi huyu mwenye hicho kigari au dereva mda huo anakuwa anachezea hicho kigari kwa kuwa mda huo barabara inakuwa free kwa maana kwamba matrafiki hawapo au kwa kuwa mda huo babrabar ina kuwa nyeupe ndo anachezea anavyotaka..
Mkuu huwa unakuwa kwenye hiyo coverage ya ubungo to kibaha kwa muda mmoja? Au hhwa unaamka unachukua usafiri kufuata huo mlio mpaka kibaha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Masikio yake yana uwezo wa kusikia umbali huoMkuu huwa unakikimbiza kwa nyuma? Maana haiwezekani uwepo kuanzia ubungo hadi kibaha
Mbona nipo Msamvu nakesha sikioni au kukisikiaHii hii barabara kubwa ya morogoro