Hivi kile kigari kinachopiga kelele usiku wa manane ni cha nani?

Niwe mkweli Mwanza Ilemela na Nyegezi nimekiskia sana hata kipindi Fulani Bukoba nimekiskia sana. SERIOUS
 
Yani kuna kigari sijui ni alteza sijui ni subaru ikifika mda wa saa sita unusu hadi tisa hivi usiku wa manane huko barabarani kuna kigari hua kinapiga kelele sana zile za mufler/exousity
Hivi huyu mwenye hicho kigari au dereva mda huo anakuwa anachezea hicho kigari kwa kuwa mda huo barabara inakuwa free kwa maana kwamba matrafiki hawapo au kwa kuwa mda huo babrabar ina kuwa nyeupe ndo anachezea anavyotaka..
Usiku wa Manae = Usiku wa Manani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee!! hata nami huwa nakisikia hapa kijiji cha kinyeto mkoa wa Singida,itabidi tufuatilie kujua ni kigari cha nani na huwa anamaanisha nini kutoa sauti ya gari muda huo wa usiku kila siku!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani kuna kigari sijui ni alteza sijui ni subaru ikifika mda wa saa sita unusu hadi tisa hivi usiku wa manane huko barabarani kuna kigari hua kinapiga kelele sana zile za mufler/exousity
Hivi huyu mwenye hicho kigari au dereva mda huo anakuwa anachezea hicho kigari kwa kuwa mda huo barabara inakuwa free kwa maana kwamba matrafiki hawapo au kwa kuwa mda huo babrabar ina kuwa nyeupe ndo anachezea anavyotaka..
Huku ninakoishi sijakasikia!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wakati mwingine hobby za watu, mtu anafeel yuko kwenye rally na kwakuwa usiku pametulia mtu anahisi burudani murua kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom