x - mas
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 914
- 597
Amani iwe nanyi wapendwa,kume kuwa na kasumba ya wafanyabiashara wengi kuhusisha biashara zao na imani za kichawi ikiaminika watapata wateja wengi au kuzuia biashara zao zisipigwe ndumba.Binafsi naona watu hao ni wajinga yaani hawana maarifa sahihi ya biashara,nashindwa kuamini mtu ambaye na muamini mwenye busara zake tunamtegea kwa mawazo mazuri amenishauri ni waone mawichdokta ili niweze kufanikiwa,inakuaje watu wanaihusudu sana hii kitu?kazi kwelikweli...