Hanaga aibu huyu ni kama nduli tu!
Lakini safari hii ataona America & Ulaya ni kitanzi kwake!
Ngoja na tumsikilizie!
Halafu Kiongozi mkubwa wa nchi anaenda kufungua hospital kubwa yenye vifaa vya kisasa vya kung'olea meno ,kucha na roho Kama makoleo huko kwenye msitu wa mabwepande bila kutuambia sisi wananchi wake ? hii ni hatari sana
Hata mwanamke malaya akianza tu kuchukua hela kwa wanaume hovyo hovyo bila kuwa smart ndo mwanzo wa matatizo, huku anataka na huku anataka halafu uroda anatoa wa kumridhisha mmoja. Balaa kubwa la njaa linawanyemelea wabongo, uliza Zimbabwe njaa imeweka kambi toka wagombane na Marekani na EU