Hivi Kikwete amewahi kuwa Serious?

Ilikuwa ni simu ya mzee Makamba alikuwa anampa taarifa kuwa ule mpango wa kutumia gazeti la serikali kuwaponda wapinzani kuwa hawatashinda umefanikiwa.
 
.......kabla ya kupanda jukwaani mjini ludewa wilayani mbalali, kikwete alikuwa akizungumza na simu na baada ya kumaliza aliwaambia wananchi kuwa alikuwa akizungumza na balozi wa marekani nchini tanzania na kwamba balozi huyo amemueleza kuwa rais barack obama ameahidi kuwa serikali yake itaendelea kutoa misaada kwa tanzania.

"nilikuwa nazungumza na balozi wa marekani nchini na amenieleza kuwa rais wa nchi hiyo, barack obama akiwa katika mkutano wa baraza la usalama la umoja wa mataifa alitolea mfano kuwa tanzania ni nchi inayofuata utawala bora hivyo wataendelea kutusaidia," alisema kikwete,

"maneno haya yanasemwa na wamarekani sio mimi... Watu wanasema tu marekani, marekani lakini huo ndio ukweli wenyewe; huo ndio ujumbe niliopata; wameonyesha kutusaidia na watatusaidia,".

source: Mwananchi

je kweli huyu ni mtu anayeweza kuitoa tanzania katika wimbi la umasikini? Kiongozi anayesema ataongoza nchi kwa misaada kweli ndugu zangu hasa wana ccm mnamfagilia kweli?
Bila ubishi wahisani wameona hila za ccm na matumizi mabaya ya fedha, unategemea nani atakuwa tayari kuchangia budget ya tanzania? Mwaka huu tumeona budget haijatosha hadi serekali imeamua kukopa bank, leo hii kikwete (mi nadiriki kumuita kiwete) anawaambia wananchi kuwa tutasaidiwa hivyo waichague ccm....very crazy!

america has never invested anywhere withouut vested intrests. Evene though obamba is black but he is an american!!!!
 
Hapana, ni simu kutoka kwa mzee basil pesambili wa mramba... ameshukuru kwa kupewa shavu na jakaya alipomshika mkono kule Rombo na kuomba watu wamchague kwa kuwa ni mtu saaaaafiii!
 
america has never invested anywhere withouut vested intrests. Evene though obamba is black but he is an american!!!!


Ni kweli wamarekani hawana rafiki au adui wa kudumu ila wanamasilahi ya kudumu,kama kuna masilahi utakuwa rafiki yao mkubwa na yanapoisha basi wewe ni adui, hiyo ndiyo sera ya nchi yao.
 
We tanzanians are the ones feeling the pinch, obama can not just sit in the white house and praise the impotent government. You know what these guys from the west have the tendence of praising stupidity as long as they know that at the end of the day they the beneficially. How many times have they praised Tanzania for good governance while they are taking our minerals with impunity. Don't ever trust western guys, we are the ones who should evaluate and give judgement and not people in the white house.
 
Huwezi kumsikia Obama hata siku moja anajisifia katika uchaguzi wa Marekani kwa kusema kwamba kiongozi fulani wa Ulaya amemsifia. Hili litashtusha Wamarekani, wataanza kujiuliza huyu Obama anataka kuwa mfanyakazi wa watu wa Marekani au wa watu wa Ulaya? Wataanza kujiuliza kama huyu Obama atakuwa puppet on a string. Kampeni ya Obama actually ilikuwa ina downplay popularity yake nje ya Marekani, hata ile speech yake ya Berlin ambayo ilipokelewa kama a rock concert ilikuwa downplayed katika kampeni ya Obama, kwa sababu ukiwaonyesha watu wanaojua kufikiri kwamba unajali zaidi unavyopendwa nje ya nchi kuliko ndani ya nchi unawaonyesha kwamba utaweka maslahi ya watu wa nje ya nchi mbele ya maslahi ya watu wa ndani ya nchi.

Kikwete kumuingiza Obama katika uchaguzi wa Tanzania ni mchemko mkubwa. Ni kama vile anawaambia watanzania kwamba oneni hata wakubwa wa dunia wananifagilia, essentially anawaambia Watanzania kwamba nyie mnahitaji kujulishwa na watu wa nje nani atakuwa kiongozi mzuri kwenu.

Watanzania hawamhitaji Obama kuwaambia nani atakuwa kiongozi mzuri kwao. Watanzania wanaishi na viongozi hawa na wanawajua vizuri zaidi kuliko Obama anayewasoma katika briefings za White House tu.

Kwa hiyo kuingiza kauli za Obama, mtu ambaye hajui chochote kuhusu hali halisi ya mambo ya siasa za Tanzania, ni ulimbukeni wa hali ya juu. Na kupokea pokea visimu dakika chache kabla ya kutoa hotuba ya muhimu kwa wananchi, pamoja na kuingiza visimu hivi katika hotuba hizi, ni colloquialism ya hali ya juu.

Siku moja atatokea muhuni am punk rais, am feed uongo kuhusu maswala fulani, rais kwa papara zake za kutaka sifa atangaze katika hotuba bila kufanya fact checking, halafu iwe bonge la aibu kuonekana kuwa rais kawa punked.
 
WAkati tunaposifia safari na matendo ya Samia tukumbuke na haya. Huko ndo tunakorudi.
 
WAkati tunaposifia safari na matendo ya Samia tukumbuke na haya. Huko ndo tunakorudi.
Mkuu! Hawa bavicha wa enzi za JK baadae wakawa wa enzi za Magu na sasa Samia, hakika vichwa vyao vina matatizo sana
 
ivi dk.Shukuru kawambwa yu wapi, bado Ni mbunge au
nauliza,maana ni mudaa
 
.......kabla ya kupanda jukwaani mjini Ludewa wilayani Mbalali, Kikwete alikuwa akizungumza na simu na baada ya kumaliza aliwaambia wananchi kuwa alikuwa akizungumza na balozi wa Marekani nchini Tanzania na kwamba balozi huyo amemueleza kuwa Rais Barack Obama ameahidi kuwa serikali yake itaendelea kutoa misaada kwa Tanzania.

"Nilikuwa nazungumza na balozi wa Marekani nchini na amenieleza kuwa rais wa nchi hiyo, Barack Obama akiwa katika mkutano wa baraza la usalama la Umoja wa Mataifa alitolea mfano kuwa Tanzania ni nchi inayofuata utawala bora hivyo wataendelea kutusaidia," alisema Kikwete,

"Maneno haya yanasemwa na Wamarekani sio mimi... watu wanasema tu Marekani, Marekani lakini huo ndio ukweli wenyewe; huo ndio ujumbe niliopata; wameonyesha kutusaidia na watatusaidia,".

Source: Mwananchi

JE KWELI HUYU NI MTU ANAYEWEZA KUITOA TANZANIA KATIKA WIMBI LA UMASIKINI? KIONGOZI ANAYESEMA ATAONGOZA NCHI KWA MISAADA KWELI NDUGU ZANGU HASA WANA CCM MNAMFAGILIA KWELI?
Bila ubishi wahisani wameona hila za CCM na matumizi mabaya ya fedha, unategemea nani atakuwa tayari kuchangia budget ya Tanzania? Mwaka huu Tumeona budget haijatosha hadi serekali imeamua kukopa Bank, Leo hii Kikwete (mi nadiriki kumuita Kiwete) anawaambia wananchi kuwa tutasaidiwa hivyo waichague CCM....VERY CRAZY!
Hivi wewe mtu anayepanda ndege usiku tena kwa siri hata mswaki hajapiga kwenda China kumuokoa muuza unga asinyongwe ni mtu wa kumtilia maanani kweli? The guy was never serious..
 
Back
Top Bottom