.......kabla ya kupanda jukwaani mjini Ludewa wilayani Mbalali, Kikwete alikuwa akizungumza na simu na baada ya kumaliza aliwaambia wananchi kuwa alikuwa akizungumza na balozi wa Marekani nchini Tanzania na kwamba balozi huyo amemueleza kuwa Rais Barack Obama ameahidi kuwa serikali yake itaendelea kutoa misaada kwa Tanzania.
"Nilikuwa nazungumza na balozi wa Marekani nchini na amenieleza kuwa rais wa nchi hiyo, Barack Obama akiwa katika mkutano wa baraza la usalama la Umoja wa Mataifa alitolea mfano kuwa Tanzania ni nchi inayofuata utawala bora hivyo wataendelea kutusaidia," alisema Kikwete,
"Maneno haya yanasemwa na Wamarekani sio mimi... watu wanasema tu Marekani, Marekani lakini huo ndio ukweli wenyewe; huo ndio ujumbe niliopata; wameonyesha kutusaidia na watatusaidia,".
Source: Mwananchi
JE KWELI HUYU NI MTU ANAYEWEZA KUITOA TANZANIA KATIKA WIMBI LA UMASIKINI? KIONGOZI ANAYESEMA ATAONGOZA NCHI KWA MISAADA KWELI NDUGU ZANGU HASA WANA CCM MNAMFAGILIA KWELI?
Bila ubishi wahisani wameona hila za CCM na matumizi mabaya ya fedha, unategemea nani atakuwa tayari kuchangia budget ya Tanzania? Mwaka huu Tumeona budget haijatosha hadi serekali imeamua kukopa Bank, Leo hii Kikwete (mi nadiriki kumuita Kiwete) anawaambia wananchi kuwa tutasaidiwa hivyo waichague CCM....VERY CRAZY!
"Nilikuwa nazungumza na balozi wa Marekani nchini na amenieleza kuwa rais wa nchi hiyo, Barack Obama akiwa katika mkutano wa baraza la usalama la Umoja wa Mataifa alitolea mfano kuwa Tanzania ni nchi inayofuata utawala bora hivyo wataendelea kutusaidia," alisema Kikwete,
"Maneno haya yanasemwa na Wamarekani sio mimi... watu wanasema tu Marekani, Marekani lakini huo ndio ukweli wenyewe; huo ndio ujumbe niliopata; wameonyesha kutusaidia na watatusaidia,".
Source: Mwananchi
JE KWELI HUYU NI MTU ANAYEWEZA KUITOA TANZANIA KATIKA WIMBI LA UMASIKINI? KIONGOZI ANAYESEMA ATAONGOZA NCHI KWA MISAADA KWELI NDUGU ZANGU HASA WANA CCM MNAMFAGILIA KWELI?
Bila ubishi wahisani wameona hila za CCM na matumizi mabaya ya fedha, unategemea nani atakuwa tayari kuchangia budget ya Tanzania? Mwaka huu Tumeona budget haijatosha hadi serekali imeamua kukopa Bank, Leo hii Kikwete (mi nadiriki kumuita Kiwete) anawaambia wananchi kuwa tutasaidiwa hivyo waichague CCM....VERY CRAZY!