Niko ktk folen ya hapa lugalo hospital.nesi anaita jina mkaka hivi anasimama kwa mikogo huku akitembea kama pepe kale vile,ingawa mwili hana kivile!who's calling me?anauliza swali kwa wagonjwa wenzie!naam kamuona nesi kila nesi akiuliza swali yeye anajibu kizungu.basi watu wanamtolea macho naye madoido ndo yanaongezeka.
mara ikaita simu si akaanza kuongea kiswahili akichanganya na kibukoba.sasa kizungu ni ishara kwamba umeendelea?
mara ikaita simu si akaanza kuongea kiswahili akichanganya na kibukoba.sasa kizungu ni ishara kwamba umeendelea?