Ni sawa kwani ni mwili unajirekebisha wenyewe. Ila inaweza kuwa kiashiria cha tatizo lingine la kiafya mfano kisukari.Wadau kama kichwa cha habari chajieleza hapo juu, kwenda short call mara 4 usiku.
Kuna mtu huwa hapendi kunywa maji ,sasa anapokunywa tu haizidi Dk 30 atakojoa mara mbili au tatu zaidi ya maji aliyokunywa..pia akihisi haja kubwa..ni atakojoa sana Kwanza kabla ya kujisaidia.Inaweza ikawa kawaida kama umekunywa maji , maboga na matunda yenye maji mengi na pombe japooo nenda hospital kapm sukari
Kawaid ukiwa unapata usingz mzur na umekunywa maji utakojoa mara nying san ni mara 3 tuu.
Ukiwa macho huna usingz usiku unawez kojoa ata mara 5.
Pengine UTIKuna mtu huwa hapendi kunywa maji ,sasa anapokunywa tu haizidi Dk 30 atakojoa mara mbili au tatu zaidi ya maji aliyokunywa..pia akihisi haja kubwa..ni atakojoa sana Kwanza kabla ya kujisaidia.
Upande wa kushoto wa tumbo huwa kama
Misuli inabana akiwa na haja zote mpaka zitoke.
Keshapima sukari,Figo, nk..yuko sawa ..
Inaweza kuwa nini shida hapo?!
Alipima pia akaambiwa mkojo ni mchafu akapewa dawa...anaafadhali ila kidogo tu.Pengine UTI
Kama una 40 years kuendelea jaribu kucheki Tezi dume piaWadau kama kichwa cha habari chajieleza hapo juu, kwenda short call mara 4 usiku.
Kuna mtu huwa hapendi kunywa maji ,sasa anapokunywa tu haizidi Dk 30 atakojoa mara mbili au tatu zaidi ya maji aliyokunywa..pia akihisi haja kubwa..ni atakojoa sana Kwanza kabla ya kujisaidia.
Upande wa kushoto wa tumbo huwa kama
Misuli inabana akiwa na haja zote mpaka zitoke.
Keshapima sukari,Figo, nk..yuko sawa ..
Inaweza kuwa nini shida hapo?!