Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kenya ni jangwa lazima watubembeleze tuwape hela na chakula. Tunawakuzaga tu bila kujua. Kenya wanatuhitaji sana kuliko tunavyowahitaji. Africa mashariki lazima tujue nani ni naniIle ilikua ni chai tu an empty revenge hawana lolote zaidi ya fix tupu, kuna ng'ombe inatoka Tanzania inaenda Kenya kutafuta malisho?
Labda waende kula mawe
Tanzania sio shamba la bibi huwajui wakenya ndomana unaongea utumbo wako huoSerikali ya Kenya hata kama ikishika mifugo milioni ya Tanzania, haiwezi kufanya yale yaliyofanywa na serikali ya Tanzania kwa wale vifaranga na wale Ng'ombe iliowakamata..
Kenya inaongozwa na mtu mwenye AKILI.
Mkuu nimekupata zaidi nilishangaa kusikia mifugo ya tz iende kenyaIle ilikua ni chai tu an empty revenge hawana lolote zaidi ya fix tupu, kuna ng'ombe inatoka Tanzania inaenda Kenya kutafuta malisho?
Labda waende kula mawe
Si uwaombe uraia unalilia tu bila msaada hapa jfSerikali ya Kenya hata kama ikishika mifugo milioni ya Tanzania, haiwezi kufanya yale yaliyofanywa na serikali ya Tanzania kwa wale vifaranga na wale Ng'ombe iliowakamata..
Kenya inaongozwa na mtu mwenye AKILI.
Pumbavu kabisa huna akili wewe..Tanzania sio shamba la bibi huwajui wakenya ndomana unaongea utumbo wako huo
Ng'ombe wa wamaasai wa Tanzania wamejaa mvomero, kilindi na Pwani hakuna ng'ombe ya mmaasai wa Tanzania inaenda Kenya, ng'ombe wa wasukuma wamejaa kwenye mapori ya Kagera, Kigoma, Geita na Tabora hakuna ng'ombe wa msukuma anaenda nje ya TanzaniaMkuu nimekupata zaidi nilishangaa kusikia mifugo ya tz iende kenya
Nipo kwenye final process..Si uwaombe uraia unalilia tu bila msaada hapa jf
Uwe ata machakosi that's your problemNipo kwenye final process..
An imbecile.
Mh!niambie unayejua International diplomacy???Pumbavu kabisa huna akili wewe..
Do u know what's International Diplomacy??
Do u know what's the repercussions of what has been by Tanzania in the relationship between the two Countries??
You are an insane creature like your President..
Imbecile.
Wewe ndiyo zuzu usiyejua lolote, hujui chochote kuhusu international affairs zaidi ya makelele hapa JF, hakuna kitu muhimu katika international relation kama kuheshimu sheria na mipaka ya nchi husika, kama Tanzania sheria yake inazuia mifugo ya nchi jirani kupelekwa katika ardhi yake, hilo ni lazima nchi jirani zilijue na kuliheshimu, bahati nzuri ng'ombe zenyewe zilipelekwa mahakamani na sheria ikachukua mkondo wake, wewe ni nani hadi upingane na sheria, au unataka kumuiga huyo unayesema ana akili kwa kumkashifu jaji mkuu kwa kumuita mkora?, mtu wa namna hiyo ndiye unayemtaja kuwa na akili?Pumbavu kabisa huna akili wewe..
Do u know what's International Diplomacy??
Do u know what's the repercussions of what has been by Tanzania in the relationship between the two Countries??
You are an insane creature like your President..
Imbecile.
Kwanini unaita wenziyo wapumbavu??ukiitwa mpumbavu utafurahiaa?Nipo kwenye final process..
An imbecile.
Wakenya wenye akili ni hawa hapa,sio hiyo "criminal" wa the Hague.Serikali ya Kenya hata kama ikishika mifugo milioni ya Tanzania, haiwezi kufanya yale yaliyofanywa na serikali ya Tanzania kwa wale vifaranga na wale Ng'ombe iliowakamata..
Kenya inaongozwa na mtu mwenye AKILI.
Serikali ya Kenya hata kama ikishika mifugo milioni ya Tanzania, haiwezi kufanya yale yaliyofanywa na serikali ya Tanzania kwa wale vifaranga na wale Ng'ombe iliowakamata..
Kenya inaongozwa na mtu mwenye AKILI.