Hivi Kemebos (Bukoba) wanawezaje kufaulisha wanafunzi kiasi hiki?

instanbul

JF-Expert Member
Jun 26, 2016
11,381
14,186
Imagine katibu Darasa zima lina A. Wanafundishane hawa watu. Serikali ipige visit hapo Kemebos ijifunze wanavyofundisha.


Picha ya mwisho ni makongo juu secondary school tena wanasoma arts wote lakin tazama majanga.

Screenshot_20230129-114820.jpg
Screenshot_20230129-114827.jpg
Screenshot_20230129-114811.jpg
Screenshot_20230129-114451.jpg
 
Darasa zima div 1 pts 7.

Halafu mbeleni wanazunguka na bahasha za kuomba ajira kwa kina nandy .

Mfano Juzi tu Diamond alifanya audition ya kutafuta video vixen wa yatapita.

Wanawake kibao wasomi wanagombea nafasi. Malipo laki 5

Na hata mdada alieshinda ni division 1 product na ni graduate wa udsm microbiologist.

Wasafi nao walikuwa na audition ya kusaka mtangazaji.. graduates zaidi ya 1000 na division one zao sekondari walijitokeza kugombea nafasi ya ajira kwa mtu ambaye hata form 4 hajafika
 
Imagine katibu Darasa zima lina A. Wanafundishane hawa watu. Serikali ipige visit hapo Kemebos ijifunze wanavyofundisha.


Picha ya mwisho ni makongo juu secondary school tena wanasoma arts wote lakin tazama majanga.

View attachment 2499028View attachment 2499029View attachment 2499030View attachment 2499032
Soma hii taarifa hapa chini utajua nini kinachoendelea kuhusu elimu kanda ya ziwa. Kwa kifupi ndio kanda inayo ongoza kwa wizi wa mitihani.


Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limezifungia shule 24 kuwa vituo vya mitihani ya Taifa baada ya kuthibitika kupanga kufanya udanganyifu katika mitihani ya kumaliza elimu ya msingi.
Shule hizo ambazo ni sawa na asilimia 0.13 ya vituo vyote vya mitihani nchini, ndani yake zipo shule maarufu ikiwemo ya Musabe ya jijini Mwanza na St Anne Marie ya jijini Dar es Salaam na shule ya Rweikiza ya mkoani Kagera.
Hayo yameleezwa leo Desemba Mosi na Kaimu Katibu Mtendaji wa Necta, Athuman Amasi wakati akitangaza matokeo ya mtihani wa kumaliza darasa la saba mwaka 2022.
Akizitaja shule hizo ni Kadama shule ya msingi iliyopo Chato- Geita, Rweikiza (Bukoba), Kilimanjaro shule ya msingi (Arusha) Sahare (Tanga), Ukerewe (Mwanza), Peaceland (Mwanza), Karume (Kagera), Al-hikma (Dar es Salaam)
Nyingine ni Kazoba (Kagera), Mugini (Mwanza), Busara (Mwanza), Jamia (kagera), Winners (Mwanza), Musabe (Mwanza), Elisabene (Songwe), High Challenge (Arusha), Tumaini (Mwanza), Olele (Mwanza), Mustlead (Pwani).
Pia zipo shule za Moregas (Mara), Leaders (Mara), Kivulini (Mwanza) na St Severine (Kagera).
“Vituo hivi vimefungiwa kwa mujibu wa kifungu 4(8) cha kanuni za mitihani mwaka 2016 hadi hapo Baraza litakapojiridhisha kuwa ni salama kwa uendeshaji wa mitihani ya kitaifa,” amesema.
Mtihani huo wa kumaliza elimu ya msingi ulihusisha watahiniwa zaidi ya 1.38 milioni nchi nzima.
 
Soma hii taarifa hapa chini utajua nini kinachoendelea kuhusu elimu kanda ya ziwa. Kwa kifupi ndio kanda inayo ongoza kwa wizi wa mitihani.


Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limezifungia shule 24 kuwa vituo vya mitihani ya Taifa baada ya kuthibitika kupanga kufanya udanganyifu katika mitihani ya kumaliza elimu ya msingi.
Shule hizo ambazo ni sawa na asilimia 0.13 ya vituo vyote vya mitihani nchini, ndani yake zipo shule maarufu ikiwemo ya Musabe ya jijini Mwanza na St Anne Marie ya jijini Dar es Salaam na shule ya Rweikiza ya mkoani Kagera.
Hayo yameleezwa leo Desemba Mosi na Kaimu Katibu Mtendaji wa Necta, Athuman Amasi wakati akitangaza matokeo ya mtihani wa kumaliza darasa la saba mwaka 2022.
Akizitaja shule hizo ni Kadama shule ya msingi iliyopo Chato- Geita, Rweikiza (Bukoba), Kilimanjaro shule ya msingi (Arusha) Sahare (Tanga), Ukerewe (Mwanza), Peaceland (Mwanza), Karume (Kagera), Al-hikma (Dar es Salaam)
Nyingine ni Kazoba (Kagera), Mugini (Mwanza), Busara (Mwanza), Jamia (kagera), Winners (Mwanza), Musabe (Mwanza), Elisabene (Songwe), High Challenge (Arusha), Tumaini (Mwanza), Olele (Mwanza), Mustlead (Pwani).
Pia zipo shule za Moregas (Mara), Leaders (Mara), Kivulini (Mwanza) na St Severine (Kagera).
“Vituo hivi vimefungiwa kwa mujibu wa kifungu 4(8) cha kanuni za mitihani mwaka 2016 hadi hapo Baraza litakapojiridhisha kuwa ni salama kwa uendeshaji wa mitihani ya kitaifa,” amesema.
Mtihani huo wa kumaliza elimu ya msingi ulihusisha watahiniwa zaidi ya 1.38 milioni nchi nzima.
Sasa hii inahusianaje na Kemebos kufaulu hivyo form four....


Wew jamaa utakua na wivu sana
 
Back
Top Bottom