James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,112
- 13,340
Kuwapata wanawake wakati mwingine siyo hela ni mazingira uliyopo. Chukulia bodaboda, makonda, madereva, ma lecturers wanavyozitinduaTafuta hela
Kuwapata wanawake wakati mwingine siyo hela ni mazingira uliyopo. Chukulia bodaboda, makonda, madereva, ma lecturers wanavyozitinduaTafuta hela
Ni wapi huko unakokaa ambako wanawwake wanakuzunguusha?Wanawake! Wanawake! Wanawake!
Mmekuaje siku hizi mpaka tunatumia nguvu kubwa Sana kuwapata bila mafanikio?! Mnajivunia Nini siku hizi?
Unamtongoza mdada anakuzungusha wee
Mara aseme una tabia mbaya eti kisa umemtongoza! Acheni hivo bn.
Akiona amekuzungusha sana anaamua kukubali kinafki ila kupata mzigo inakua kibarua kingine, atakuzungusha mpaka utahisi huenda labda Hana unachokiomba.
Mwingine akikupa contact sahau kujibiwa/ kupokelewa sim zako ( hapa wazee wa kufuta namba wameongezeka sana )
Wanawake punguzeni makali mnatuumiza wenzenu.
Kwanini zamani pochi haikupewa kipaumbele?.
Mambo yalikuwa hiv hivi tu, tena kulikuwa na usemi wanasema "hapendwi mtu hapa inapendwa pochi"Kwanini zamani pochi haikupewa kipaumbele?.
Unategemea wewe ulivyo mkuu mbona kitonga Sana siku iziWanawake! Wanawake! Wanawake!
Mmekuaje siku hizi mpaka tunatumia nguvu kubwa Sana kuwapata bila mafanikio?! Mnajivunia Nini siku hizi?
Unamtongoza mdada anakuzungusha wee
Mara aseme una tabia mbaya eti kisa umemtongoza! Acheni hivo bn.
Akiona amekuzungusha sana anaamua kukubali kinafki ila kupata mzigo inakua kibarua kingine, atakuzungusha mpaka utahisi huenda labda Hana unachokiomba.
Mwingine akikupa contact sahau kujibiwa/ kupokelewa sim zako ( hapa wazee wa kufuta namba wameongezeka sana )
Wanawake punguzeni makali mnatuumiza wenzenu.
Nyooooko kweli hawa kama hataki kwnn akatangaze mimi ukinisem mimi pia nakusema nasema yule nishapita ana mimaji kam mtooUnamtongoza ke anaanza kukutangaza una tabia mbaya.
Nyooooko kweli hawa kama hataki kwnn akatangaze mimi ukinisem mimi pia nakusema nasema yule nishapita ana mimaji kam mtoo
AsantePole mtoa mada mimi mwenye sikuhizi sitaki kabisa usumbufu wa kutongozwa nikiona jitu sumbufu sipokei cm wala msg sijibu
Nina 24 - 26Mkuu una umri gni??
MBONA WADADA WANEKUWA WARAHISI SANA KUWAPATA
WANAJIRAHISHA SANAA
AU NI KWANGU TUU
AU UNAWATAKA BURENina 24 - 26
Haelewi kanuni huyo, anataka demu wa mluzi! Sikuhizi hamna hio hasa mjini ni miundombinu tu. Wawekezaji watakuja wenyewe 😂😂😂Utakuwa hauna uwezo wa kuhudumia. Tafuta kazi, kuwa na makazi yako, kuwa na ratiba zako, wanawake utawakimbia wewe, namba zitajaa hadi utakuwa unatafuta wa kufuta.....
Hawa wenzetu wamechanganyikiwa walaiNinyi wenyewe huwa mnasema siku hizi tunalika kirahisi, tumekuwa cheap, thamani ya mwanamke imepotea....leo mnasemaje tena?? Kwa kweli mnatuchanganya
Una miaka mingapi?Unamtongoza ke anaanza kukutangaza una tabia mbaya.
ila hapo unakuwa na bahasha wako ndio maana una jeuriPole mtoa mada mimi mwenye sikuhizi sitaki kabisa usumbufu wa kutongozwa nikiona jitu sumbufu sipokei cm wala msg sijibu
Tatizo mtoa mada hana nyenzo au viwatilifu 😂!Hawa wenzetu wamechanganyikiwa walai
Boresha swaga utawadaka kiwepesiWanawake! Wanawake! Wanawake!
Mmekuaje siku hizi mpaka tunatumia nguvu kubwa Sana kuwapata bila mafanikio?! Mnajivunia Nini siku hizi?
Unamtongoza mdada anakuzungusha wee
Mara aseme una tabia mbaya eti kisa umemtongoza! Acheni hivo bn.
Akiona amekuzungusha sana anaamua kukubali kinafki ila kupata mzigo inakua kibarua kingine, atakuzungusha mpaka utahisi huenda labda Hana unachokiomba.
Mwingine akikupa contact sahau kujibiwa/ kupokelewa sim zako ( hapa wazee wa kufuta namba wameongezeka sana )
Wanawake punguzeni makali mnatuumiza wenzenu.
Pesa tunatafuta ili tuwale hao....Taafuta pesa mkuu
unakazia😂😂 wanawake wakaze hapo hapo.
Wasaidie wadogo zakoTatizo mtoa mada hana nyenzo au viwatilifu !
Wenye nazo aah maisha yanawaendea tu na wanaoteseka huwa wanawashangaa wanakwama wapi.