masara
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 1,738
- 2,279
Za mda huu wadau,
Nimekuwa nikijiuliza sana kuhusu wajibu wa wabunge wetu wa CCM, Pale wanapoamua kuwa upande wa Serikali asilimia mia moja hali wao ni fimbo ya Serikali.
Unakuta mbunge anasifia serikali kuliko hata anavyomsifia mwezi wake au mtoto wake anapofanya vizuri.
Ikumbukwe Tanzania tuna mihimili mitatu kwa lugha nyingine hii mihimili sio rafiki maana kila mhimili ni sawa na kazi yake ni kumuangalia mwenzake. Kwa manufaa ya wananchi.Maana bila hivyo inchi itakuwa mali ya watu wachache.
Sasa mhimili ambao unatakiwa kumuangalia na kumchunga rais wenyewe ndio unageuka kuwa unapogeza na kuomba uongezewe muda .
Yaani hadi mtu unayesikiliza hoja unabaki unasema,hivi huyu anayeogea haya anajielewa kweli au anamapungufu ya akili.
Mtu anasimama anajenga hoja ya kusema tuiongezee serikali mda na ikibidi usiwepo uchaguzi.
Yaani ameshidwa kuwaza nje ya boks kuwa,endapo kama watajenga bunge imara na katiba imara,hata Rais akiogoza miaka miwili lazima matokeo yataonekana.
Hivi hawajui kuwa wao kama bunge likisimama vizuri wanaweza kujipatia sifa kuliko Serikali maana wao ndio.Wanaoidhinisha matumizi ya serikali na pia wanaisimamia.
Lakini matokeo yake inaonekana serikali ndio inalisimamia bunge na kulipangia nini cha kufanya.
Namshukuru Rais Magufuli kwa kuwaonesha kuwa wanaokosea sana kusema aongeze muda lakini bado wanakomaa tu bila aibu.
Natamani bunge liweke mfumo wa kuiweka Serikali kiti moto ili kuleta maendeleo ya kweli na ya muda mrefu..
Wa sangara
Nimekuwa nikijiuliza sana kuhusu wajibu wa wabunge wetu wa CCM, Pale wanapoamua kuwa upande wa Serikali asilimia mia moja hali wao ni fimbo ya Serikali.
Unakuta mbunge anasifia serikali kuliko hata anavyomsifia mwezi wake au mtoto wake anapofanya vizuri.
Ikumbukwe Tanzania tuna mihimili mitatu kwa lugha nyingine hii mihimili sio rafiki maana kila mhimili ni sawa na kazi yake ni kumuangalia mwenzake. Kwa manufaa ya wananchi.Maana bila hivyo inchi itakuwa mali ya watu wachache.
Sasa mhimili ambao unatakiwa kumuangalia na kumchunga rais wenyewe ndio unageuka kuwa unapogeza na kuomba uongezewe muda .
Yaani hadi mtu unayesikiliza hoja unabaki unasema,hivi huyu anayeogea haya anajielewa kweli au anamapungufu ya akili.
Mtu anasimama anajenga hoja ya kusema tuiongezee serikali mda na ikibidi usiwepo uchaguzi.
Yaani ameshidwa kuwaza nje ya boks kuwa,endapo kama watajenga bunge imara na katiba imara,hata Rais akiogoza miaka miwili lazima matokeo yataonekana.
Hivi hawajui kuwa wao kama bunge likisimama vizuri wanaweza kujipatia sifa kuliko Serikali maana wao ndio.Wanaoidhinisha matumizi ya serikali na pia wanaisimamia.
Lakini matokeo yake inaonekana serikali ndio inalisimamia bunge na kulipangia nini cha kufanya.
Namshukuru Rais Magufuli kwa kuwaonesha kuwa wanaokosea sana kusema aongeze muda lakini bado wanakomaa tu bila aibu.
Natamani bunge liweke mfumo wa kuiweka Serikali kiti moto ili kuleta maendeleo ya kweli na ya muda mrefu..
Wa sangara