Kapo Jr
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 996
- 280
Tangu uchaguzi mkuu ufanyike nchini(2010)rais amekua ni mtu wa ziara nje ya nchi huku ndani ya nchi ni migogoro,migomo,mauaji na utendaji usifaa wa wasaidizi,lakini sijamsikia akiwawajiba wasiotimiza wajibu wao.mfano mzuri mgomo wa madaktari madai yao ni mengi hasa mawaziri wa afya likiwa moja kati ya hayo,wakigoma madaktari sisi wananchi wa kawaida ndio tunaoathirika,hata awe rafiki anapokosea awajibishe kulingana na sheria husika