The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Kaunda suti ni vazi naona linavaliwa sana na viongozi wetu hapa Tanzania kuliko nchi yoyote Africa kama sio Duniani.
Lakini kaunda haivaliwi na viongozi tu, kaunda inapendelewa hata na taasisi za ulinzi na usalama wa nchi yetu.
Walinzi wa rais na viongozi wakuu kaunda suti ni kama vazi lao rasmi, usipowakuta kwenye suti za kawaida hizi ambazo pia wanavaa mara chache sana utawakuta tu kwenye kaunda suti.
Naomba kuuliza, je kaunda ndio wazi rasmi la walinzi wa viongozi wetu?
Lakini kaunda haivaliwi na viongozi tu, kaunda inapendelewa hata na taasisi za ulinzi na usalama wa nchi yetu.
Walinzi wa rais na viongozi wakuu kaunda suti ni kama vazi lao rasmi, usipowakuta kwenye suti za kawaida hizi ambazo pia wanavaa mara chache sana utawakuta tu kwenye kaunda suti.
Naomba kuuliza, je kaunda ndio wazi rasmi la walinzi wa viongozi wetu?