Andie
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 713
- 1,641
Salaam wakuu,
Kichwa cha habari nimekiweka kuchochea majadiliano ya mazingira ya "usasa". Awali ya yote niweke wazi mimi nimeoa na Mungu mpaji kanibariki mtoto mmoja wa kiume (asante Mungu) japo nina elimu ila misingi ya familia yangu kwa kweli nimezingatia maadili na tamaduni naweza sema nimechagua kubaki "mshamba" katika kipengele cha ndoa na kuupisha "usasa" unaoshabikiwa na vijana wengi wa kileo.
Nitatibua mjadala kwa mtindo wa kuuliza maswali na nianze kwa kuuliza kuna haja gani ya ndoa kama mwanaume kasoma na ana kazi yake na maisha yake na mwanamke amesoma ana kazi yake? Je hawa wote wanatoka asubuhi na kurudi jioni wote wanamfumo sawa wa maisha wanaoana ili iweje? Nini maana ya kuoana? Wote wanafokewa na mabosi zao nani wakumfariji mwenzie arudipo?
Wanazaa watoto ili iweje wakati wanamwachia house girl watoto 98% ya muda wote?
Je huyu mwanamke anaezaa na kumwachia house girl analea yeye yuko ofisini muda wote ni mama kweli kwa mtoto au house girl anaelea kutwa kucha ndo mama?
Sijui ndo kupenda kitonga, wanaume wa kisasa wanataka kua kama wanawake wakitaka kuoa wanauliza "mwanamke anafanya kazi wapi?" Full kupenda kitonga na wavivu tabia za kike huku wanawake wanataka kua kama wanaume aise.
Ok pia sijapinga mwanamke kujishugulisha kama anaweza Kufanya hivyo ni vizuri ila SIO KUAJIRIWA kwa mfno mke wangu anasimamia miradi ya familia nilizofungua, sio mwanamke kaajirisha na likampuni gani huko au serikalini. Mume traffic mke mkufunzi wa chuo hii aise hapana.
Mimi mwanamke wa namna hii hanivutii hata punje kumuoa, labda kumtumia na kuachana nae. Mwanamke hafui hata nguo zake mwenyewe, hapiki, ana hela za kwake ana malengo ya kwake sasa huyu anaolewa ili iweje?
Kichwa cha habari nimekiweka kuchochea majadiliano ya mazingira ya "usasa". Awali ya yote niweke wazi mimi nimeoa na Mungu mpaji kanibariki mtoto mmoja wa kiume (asante Mungu) japo nina elimu ila misingi ya familia yangu kwa kweli nimezingatia maadili na tamaduni naweza sema nimechagua kubaki "mshamba" katika kipengele cha ndoa na kuupisha "usasa" unaoshabikiwa na vijana wengi wa kileo.
Nitatibua mjadala kwa mtindo wa kuuliza maswali na nianze kwa kuuliza kuna haja gani ya ndoa kama mwanaume kasoma na ana kazi yake na maisha yake na mwanamke amesoma ana kazi yake? Je hawa wote wanatoka asubuhi na kurudi jioni wote wanamfumo sawa wa maisha wanaoana ili iweje? Nini maana ya kuoana? Wote wanafokewa na mabosi zao nani wakumfariji mwenzie arudipo?
Wanazaa watoto ili iweje wakati wanamwachia house girl watoto 98% ya muda wote?
Je huyu mwanamke anaezaa na kumwachia house girl analea yeye yuko ofisini muda wote ni mama kweli kwa mtoto au house girl anaelea kutwa kucha ndo mama?
Sijui ndo kupenda kitonga, wanaume wa kisasa wanataka kua kama wanawake wakitaka kuoa wanauliza "mwanamke anafanya kazi wapi?" Full kupenda kitonga na wavivu tabia za kike huku wanawake wanataka kua kama wanaume aise.
Ok pia sijapinga mwanamke kujishugulisha kama anaweza Kufanya hivyo ni vizuri ila SIO KUAJIRIWA kwa mfno mke wangu anasimamia miradi ya familia nilizofungua, sio mwanamke kaajirisha na likampuni gani huko au serikalini. Mume traffic mke mkufunzi wa chuo hii aise hapana.
Mimi mwanamke wa namna hii hanivutii hata punje kumuoa, labda kumtumia na kuachana nae. Mwanamke hafui hata nguo zake mwenyewe, hapiki, ana hela za kwake ana malengo ya kwake sasa huyu anaolewa ili iweje?