kigumu twawala
Member
- Nov 23, 2010
- 50
- 2
Jana katika mdahalo kati wamh Hamadi na Mbowe ulio rushwa live na itv mh Hamadi alitueleza kuwa walibadisha katiba ya ZNZ baada ya kupiga kura ya maoni na watu wakarizia kuanzisha kwa serikali ya muungano wa ccm na cuf sio vya vingine vya upinzani vilivyoko. Mimi kinachonitatiza hapa ni kuwa waliyatekeleza makubaliono yale ya katiba mpya bila katiba ya Tanzania kubadlishwa. Mh huyu alifafanua kwamba muda haujapatikana kwa bunge la munganao kutia viraka vingine kwenye Katiba ya muungano ili kuridhia yale mabadiliko ya katiba ya ZNZ. Sasa na uliza kwa kufanya hivi hakuna kifungu cha sheri ya katiba ya jamhuri ya muungano kilichovunjwa, kama kikoko nani anastahili kutiwa kitanzi kwa kushindwa kuilinda katiba.