Jindal Singh
JF-Expert Member
- Sep 9, 2015
- 1,853
- 1,521
Roman Empire ile ya kizamani au? au unazungumzia hii ya sasa isiyo na meno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee jamaa ni mchokozi sana aisee!Wavaa sendozi ndo wanatawala dunia
Utawala wa Roman empire hautofautiani sana na Barabara ya Nyerere road ila tuendelee kujadili hojaKatika pitapita zangu nilikutana na mjadala kuhusu maswala kuhusu Marekani na utawala wa Roman empire ndani ya kanisa katoliki.
Wapo wengine wanafikia hatua wanasema kiongozi yoyote au rais yoyote ambae anaenda kinyume na itikadi za Roman anaweza ondolewa au kuuawa.
Wapo wanaosema Roman katoliki chini ya Roman ndio ana nguvu ya kutawala dunia na wengine wanasema Marekani ndio baba wa dunia
Hebu wana JF naombeni mawazo yenu kuhusu utawala wa Roman empire katika hii dunia na Marekani.
sababu tumepitia mengi n tunaendelea pitia mengi!!, kifupi sisi ndio mti nyie wengine ni vijitawi tu tukiamua kitu mtayumba!..wakatoliki wana ugonjwa wa kujisifu na kujiona bora kuliko wengine
ayumbe nani wewe..endeleeni kuchangishana sadaka za lazma..maana hali mbaya,kondoo hawaji machunganisababu tumepitia mengi n tunaendelea pitia mengi!!, kifupi sisi ndio mti nyie wengine ni vijitawi tu tukiamua kitu mtayumba!..
At least tunachangishana kufanya kitu, sio nyie mnachangishwa kumtajirisha kiongozi wenu!...ayumbe nani wewe..endeleeni kuchangishana sadaka za lazma..maana hali mbaya,kondoo hawaji machungani
we kweli kondooAt least tunachangishana kufanya kitu, sio nyie mnachangishwa kumtajirisha kiongozi wenu!...
sawa kenge!..we kweli kondoo
nenda ukachungwesawa kenge!..
Ndio maana huwa siamini kama kuna mtu mweusi atakuja kuwa papaKuna ukweli juu ya hili la Roman Empire ndio hao hao roman Catholic tangu zamani kumbuka story ya Mfalme Henry wa uingereza alitaka kuoa mke wa pili akaomba kibali kwa papa akamtosa akaruhusu bible itafsiriwe kwa lugha tofauti na kilatini kilichompata alikiona
Huo ni mfano mmoja ila Roman Empire ipo imevaa koti la kidini na ndio wanaopanga watawala duniani
Hahahasawa kenge!..
Mkuu unajiaibisha tuKWA KIFUPI TUU ROMAN EMPIRE ILIANZA MIAKA YA ZAMANI SANA KIPINDI CHA 30 B.C YAANI BEFORE CHRIST .
KWA MIAKA YA ZAMANI ROMAN EMPIRE ILITAWALA BARA LA ULAYA PEKEE LAKINI BAADA YA MIAKA KWENDA ROMAN EMPIRE KATIKA KUJITANUA NGUVU ZAKE ILIBIDI WAANZISHE DINI ILI WAENDELEZE NGUVU ZAO KUITAWALA DUNIA HIVYO ILIBIDI WAIVUNJE ROMAN EMPIRE NA KUANZISHA ROMAN CATHOLIC KWAIYO ROMAN KATOLIKI KAMA DINI LAKINI IMEVAA KOTI LA ROMAN EMPIRE ILI WAENDELEE KUITAWALA DUNIA.
BAADA YA KUANZISHA ROMAN KATOLIKI HAWAKUISHIA HAPO PIA WALIANZISHA MFUMO WA SERIKALI NDANI YA KATOLIKI KUWA KITU KIMOJA LAKINI SERIKALI INAKUWA IPO CHINI YA KANISA KATOLIKI NA HAPO NDIPO WALIPOFANIKIWA KUITAWALA DUNIA.
LAKINI PIA WAKATOLIKI WAMETENGENEZA SYSTEM ZA KIJASUSI AMBAYO KIONGOZI WA NCHI YOYOTE DUNIANI NI LAZIMA AFUATE MFUMO WA KIKATOLIKI NA UKATOLIKI UNAVYOTAKA NA ENDAPO KIONGOZI YOYOTE YULE ATAJARIBU KUUPINGA ULE MFUMO BASI ATAUWAWA KUPITIA KITENGO CHAO CHA UJASUSI CHA JERSUIT HIVYO HAWA JAMAA WANA POWER OVER GOVERMENTS DUNIA NZIMA