Hivi kati ya Ottoman empire na Roman empire ipi ilitumia zaidi nguvu na kuua watu wengi per time it ruled?

February Makamba

JF-Expert Member
Jan 31, 2020
2,116
2,820
Greetings Earthlings,
Hizi empire mbili zilitawala kila moja kwa muda wake.

Roman empire ilitawala muda mrefu zaidi na ilikuwa na phase mbili ya kabla kuwa ya kikristo na baada kuwa ya kikristo
Kabla kuwa ya kikristo ilitawala dunia kwa mateso na kuonea wasioamini miungu ya kirumi..
Baada ya kuwa ya kikristo miaka ya 200AD iliendelea kutawala na kutesa sana wasioamini ukatoliki.hivyo ilisaidia sana kukua kwa ukatoliki na kuupa nguvu duniani

Ottoman empire nayo ilitawala kwa makalifa na ilitumia upanga na vita kuenea kutoka mecca mpaka middle east yote + far East kama india + North Africa
ilisaidia kukuza uislam...watu wengi wasioamin waliuwawa na tawala za dini tofauti zilishushwa(kwa upanga)

Swali langu:Kati ya hizi tawala mbili ipi ilikuwa katili zaidi(Most brutal) per time it ruled?

Nb;sio mjadala wa dini,ni pure history na facts tuachane na hisia zetu according to imani zetu
 
Ottoman empire nayo ilitawala kwa makalifa na ilitumia upanga na vita kuenea kutoka mecca mpaka middle east yote + far East kama india + North Africa
ilisaidia kukuza uislam...watu wengi wasioamin waliuwawa na tawala za dini tofauti zilishushwa(kwa upanga)


Mjinga wewe, unakataza nini na unafanya nini???--- unakataza udini wakati unashambulia dini moja.
 
Greetings Earthlings,
Hizi empire mbili zilitawala kila moja kwa muda wake.

Roman empire ilitawala muda mrefu zaidi na ilikuwa na phase mbili ya kabla kuwa ya kikristo na baada kuwa ya kikristo. Kabla kuwa ya kikristo ilitawala dunia kwa mateso na kuonea wasioamini miungu ya kirumi..
Baada ya kuwa ya kikristo miaka ya 200AD iliendelea kutawala na kutesa sana wasioamini ukatoliki.hivyo ilisaidia sana kukua kwa ukatoliki na kuupa nguvu duniani


Ottoman empire nayo ilitawala kwa makalifa na ilitumia upanga na vita kuenea kutoka mecca mpaka middle east yote + far East kama india + North Africa ilisaidia kukuza uislam...watu wengi wasioamin waliuwawa na tawala za dini tofauti zilishushwa(kwa upanga)


Swali langu:Kati ya hizi tawala mbili ipi ilikuwa katili zaidi(Most brutal) per time it ruled?

Nb;sio mjadala wa dini,ni pure history na facts tuachane na hisia zetu according to imani zetu
Si rahisi kusema ni Miliki gani kati ya Warumi (Roman) na Uturuki (Ottoman) zilifanya mauaji makubwa dhidi ya binadamu, kama ifuatavyo:

• Milki za Kirumi na Uturuki zilikuwepo katika milenia tofauti, na kila moja mipaka yake ilienea Asia, Afrika, na Ulaya. Hata kama milki zote mbili zilitawaliwa na watawala wa kimabavu, miundo yao ya kisiasa, kidini, na utamaduni pia ilikuwa na tofauti kubwa;
• Himaya ya Uturuki ilidumu muda mrefu (1299AD - 1923AD), kuliko Himaya ya Kirumi (27BC - 476AD), ambayo ilikuwepo kwa karne tano na nusu. Tofauti kati ya himaya hizo mbili pia zinaenea kwa miundo yao ya kidini, kisayansi, utamaduni na kisiasa. Askari wa Himaya ya Uturuki walikuwa na silaha za hali ya juu zaidi kuliko zile za askari wa Kirumi, kwa kuwa silaha hazikuwepo miaka 2000 iliyopita; na
• Watumwa walikuwa sehemu ya Milki ya Warumi na Uturuki. Katika jamii ya Kirumi, watumwa hawakuwa na haki. Waliweza kutendwa vibaya, kutumiwa vibaya, na hata kuuawa na mabwana wao bila adhabu inayotolewa na mfumo wa haki. Katika Himaya ya Uturuki, Waislamu hawangeweza kushikiliwa kama watumwa isipokuwa wawe wafungwa wa vita.
 
Si rahisi kusema ni Miliki gani kati ya Warumi (Roman) na Uturuki (Ottoman) zilifanya mauaji makubwa dhidi ya binadamu, kama ifuatavyo:

• Milki za Kirumi na Uturuki zilikuwepo katika milenia tofauti, na kila moja mipaka yake ilienea Asia, Afrika, na Ulaya. Hata kama milki zote mbili zilitawaliwa na watawala wa kimabavu. Miundo yao ya kisiasa, kidini, na utamaduni pia ilikuwa na tofauti kubwa;
• Himaya ya Uturuki ilidumu muda mrefu (1299AD - 1923AD), kuliko Himaya ya Kirumi (27BC - 476AD), ambayo ilikuwepo kwa karne tano na nusu. Tofauti kati ya himaya hizo mbili pia zinaenea kwa miundo yao ya kidini, kisayansi, utamaduni na kisiasa. Askari wa Himaya ya Uturuki walikuwa na silaha za hali ya juu zaidi kuliko zile za askari wa Kirumi, kwa kuwa silaha hazikuwepo miaka 2000 iliyopita; na
• Watumwa walikuwa sehemu ya Milki ya Warumi na Uturuki. Katika jamii ya Kirumi, watumwa hawakuwa na haki. Waliweza kutendwa vibaya, kutumiwa vibaya, na hata kuuawa na mabwana wao bila adhabu inayotolewa na mfumo wa haki. Katika Himaya ya Uturuki, Waislamu hawangeweza kushikiliwa kama watumwa isipokuwa wawe wafungwa wa vita.

Elezea zaidi
Hili jina Roman linatoka wapi??
Mfano Ottoman inafahamika inahusiana na Uturuki ya sasa..
Roman inahusiana na Taifa gani la sasa??
Italy?Greek?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom