Bata maji, bata bukini, bata mzinga wote ni bata Na Wana ladha tofautiNimekaa waungwan nkasema mnisaidie kat ya hao ndeg wawili ni yupi kati yao nyama yake inashikia hatamu kwa utamu???
Eeee!??Bata ni haramu kwa mujibu wa maandiko
Umejiongeza,mwenzenu kamaanisha vingine nyie mmejibu vingine.
Imani ya YESU maana biblia inasema hivoEeee!??
Kwa mujibu wa Imani gani?
Utakuwa na vyeti fekiPapuchi tamu kuliko zote,inafuatia ya kuku, ndiyo maana hata mwewe hapendelei vifaranga vya bata.
Aisee,Imani ya YESU maana biblia inasema hivo
Ndio tambua mkuu, biblia imeonya kula bata , hana sifa za kuwa msafi ni haramu, ni ukaid na ulafi wa watu tu, ndio maana wanamla huyo bata,mende,nguruwe, mbwa,kengeAisee,
Ndio naisikia Léo hii.