Hivi kati Nassari na Sioi nan mwanasiasa maana nimekuwa nafuatilia kampen zao kuna mmoja kati ya hawa anaoneka
kuongea straight yaan anaelezea sera moja kwa moja,
Af mwingine anaonekana kupewa support kubwa sana ya kuongea?
Nawasirisha hoja!!!!
mtoto wa mchungaji ni moto,ila mtoto wa waziri tuna wasi wasi na uwezo wake
Mkuu si unajua tena huyu Bwana Sioi kawekwa kugombea ubunge na mkwe wake na CCM, ki ukweli kabisa hana record yoyote ya uwanasiasa!!!!! Bwana Nassari aligombea ubunge pomoja na baba yake huyu Bwn Sioi hiyo inakupa picha halisi kuwa Bwana Sioi kama sio kubebwa alikuwa hana mpango kabisa wa kugombea ubunge Arumeru, yeye kalazimishwa tuu!!! Wala hajiamini na kitu anacho kifanya anaona kama the COMEDY tuu, apate akose hana shida yoyote!!!!Hivi kati Nassari na Sioi nan mwanasiasa maana nimekuwa nafuatilia kampen zao kuna mmoja kati ya hawa anaoneka
kuongea straight yaan anaelezea sera moja kwa moja,
Af mwingine anaonekana kupewa support kubwa sana ya kuongea?
Nawasirisha hoja!!!!
Hivi kati Nassari na Sioi nan mwanasiasa maana nimekuwa nafuatilia kampen zao kuna mmoja kati ya hawa anaoneka
kuongea straight yaan anaelezea sera moja kwa moja,
Af mwingine anaonekana kupewa support kubwa sana ya kuongea?
Nawasirisha hoja!!!!
nassar-mwinjilist fulani hv. Siyoi ndo mwanasiasa.
Mmoja ni Mwanasiasa na mmoja ni inasemekana ni shoga...
mkuu mbona hoja yako sijaielewa? Inaonekana unamjua mmoja ana sifa hizi kisiasa na mwingine ana sifa zile kisiasa kwanini usingeziweka zote hapa na ukasema siyoi anazo hizi na nassari anazo hizi kwa mtazamo wangu kama vile unauliza kitu unachokijua.
Huyo shoga hatakiwi kabisa kuingia bungeni,atawavuruga wengine kwa mawazo yake ya kishoga
Mmoja ni Mwanasiasa na mmoja ni inasemekana ni shoga...