Hivi kati ya huyu Wizkid anaejiita Star Boy na Davido nani mkali?

xavihernandezalcantara

Senior Member
Nov 17, 2020
124
132
Hivi kati ya huyu Wizkid anaejiita Star Boy na Davido nani mkali kwenye nyanja zote za Muziki kuanzia Afrika na nje ya Afrika, Nani zaidi Wizzy au Davido

FB_IMG_16138008168908203.jpg
 
Hao levo moja na washashiba hela wanaimba kwa kubeep.
Kuna Tekno huku ye ni ni mikito baada ya mikito.hategi
 
Back
Top Bottom