Hivi kati ya hawa wanaojiita Wachambuzi nani yupo vizuri na nani anababaisha tu?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,544
108,865
Habari zenu wana jamvi.

Naomba kuwaulizeni nimekuwa nikisikia kuwa kuna Watu hawa Wawili wanajiita Wachambuzi mahiri wa masuala ya Kijamii, Kiuchumi na Kisiasa nchini Tanzania ambao ni Chris Mauki na mwenzake Hassan Ngoma.

Japo sijawahi kuuthibitisha huo umahiri wao ila nimekuwa nikisikia tu Watu wakiwajadili sehemu mbalimbali hali iliyonipelekea leo kuwaulizeni je kati ya Chris Mauki na Hassan Ngoma ni nani ni Mchambuzi wa kweli na yupo vizuri Kwa kujenga hoja na ni nani anababaisha tu na hayuko vizuri Kihoja?

Kila siku nimekuwa nikiitumia JF kama Kioo changu cha kupata ukweli wa mambo kadha wa kadha hivyo atakayetajwa hapa kwa uwingi kuwa ndiyo mahiri basi na Mimi nitaamini na kuanza kumuheshimu na yule atayetajwa kwa uwingi kuwa wa hovyo hovyo basi nami ndiyo nitampuuza kimoja.

Karibuni na Kazi kwenu!
 
Nan alikwambia kuna
Anaemzd Chris mauki hata
Kwa dawa hawampat Chris
It's the best kwa uchambuz
Huyu jamaa yuko vzr sana

Hao wengne wanaota tu
Ndoto za mchana
 
Ongeeni wooooote lakin kuna mashine moja makin na hatari sana nchi hii,huyo kila sehem mpka mambo ya dini yupo japo hujaweka kipengele cha dini lakin hyo jamaa ni habari nyingine kwangu mimi namchukulia hakuna kama yeye ktk sekta ya uchambuzi tanzania na east africa au africa nzima mpka ulaya wanamtambua kua ni kiboko yao.... Anaitwa

Dr Ellie VD Waminiani


acha kabsa hao akina mauki na akina ngoma wakajifunze kwanza ndio waje hapa upya
 
Ongeeni wooooote lakin kuna mashine moja makin na hatari sana nchi hii,huyo kila sehem mpka mambo ya dini yupo japo hujaweka kipengele cha dini lakin hyo jamaa ni habari nyingine kwangu mimi namchukulia hakuna kama yeye ktk sekta ya uchambuzi tanzania na east africa au africa nzima mpka ulaya wanamtambua kua ni kiboko yao.... Anaitwa

Dr Ellie VD Waminiani


acha kabsa hao akina mauki na akina ngoma wakajifunze kwanza ndio waje hapa upya
Mkuu nakuunga mkonyo in Anne makinda's voice
Hivyo hivyo bhana
 
Watu bwana ! Jamaa kauliza kati ya Hasan Ngoma na Chris Mauki mnaleta habari za watu wengine ! Tunajuwa hao mnao wataja ni bora zaidi, lakini mleta maada hayuko huko. Yeye anataka majibu kati ya hao aliotaja. Watu Huanguka mitihani kizembe namna hii. Akina Bashite ni wengi Kumbe.
 
Hawa washaur kama waganga tu ukiwa mwanaume unajua udhaifu wetu then unauza desa kwa wanawake ni kama kutoa siri za jandoni
 
hakuna mshauri wa masuala ya uchumi hapo!
ila mauki ni saikolojia na mahusiano tu!
Kitu ambacho hasani hajawahi
 
Sijawahi kusoma uchambuzi wa Hassan Ngoma ila huyu jamaa anayeitwa Chris Mauki ni mtu hatari sana kwenye critical thinking, nilimsoma kwenye mtandao miaka michache iliyopita. Kijana yupo positive sana hasa kwenye uchambuzi wa kisaikolojia na mahusiano.

Mkuu GENTAMYCINE umeleta thread nzuri sana kwa siye tulieanza kumsahau kijana Chris Mauki.
 
Ongeeni wooooote lakin kuna mashine moja makin na hatari sana nchi hii,huyo kila sehem mpka mambo ya dini yupo japo hujaweka kipengele cha dini lakin hyo jamaa ni habari nyingine kwangu mimi namchukulia hakuna kama yeye ktk sekta ya uchambuzi tanzania na east africa au africa nzima mpka ulaya wanamtambua kua ni kiboko yao.... Anaitwa

Dr Ellie VD Waminiani


acha kabsa hao akina mauki na akina ngoma wakajifunze kwanza ndio waje hapa upya
Mkuu, I agree. Dr.Elli ni dunia nyingine kabisa.
 
criss mauki mwalimu wangu wa guidance and counseling udsm.....huyu jamaa ni noma nilikuwa natamani kipindi kisiishe
he is the best....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom